Makapuku Forum

Nakutakia maisha marefu Mzee Mwingi
Mmoja kati ya viongozi wachache barani Afrika wasiojikweza..pia siyo mwobgeaji sana

Ndo Rais pekee ambaye ana mke zaidi ya mmoja hivyo wakati wa utawala wake nilikuwa na maFirst Lady wawili
Pia nasikia alikuwa hasaini kabisa adhabu ya kifo

Ndiye baba wa Hussein Mwinyi aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na JKT
...........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…