Leo katika Historia:
1901 - Chama cha siasa cha Labor chaanzishwa huko Australia.
Yap yapHa ha ha ha ha..... Tunaondoa stress.
Usinyambue maneno muda huu maana weather yenyewe tu Ni shidaTungo tata... Ha ha ha ha ha.
Ahsante mkuu Mussolin5 kwa historiaLeo katika Historia:
Niwatakie siku njema.
Mzuriwakuu habar za saiv
Duuu .... Safi sanaKapuku living church of God
1912 - Kampuni ya kurekodi movie ya Paramount Pictures yaanzishwa.
Wacha wee....nipe tano mkuusio kuwadi ila nilitaka nikuweke sehem salama ambayo hakuna makelele kama kwingine unapoingia unakutana na misululu
Hujanishinda mmJina la kanisa nimelipenda
lini aliniita baby
1925 - Ali Hassan Mwinyi anazaliwa.
Ni Rais wa awamu ya pili ya Tanzania.
Pia amewahi kuwa Rais wa awamu ya tatu ya Zanzibar baada ya kujiuzulu kwa Rais Aboud Jumbe.
Maarufu kama Mzee Ruksa. Ndio Rais pekee wa Zanzibar ambaye si mzaliwa wa Zanzibar kuiongoza nchi hiyo.
Mwinyi ni mzaliwa wa Kisarawe mkoani Pwani.
ikifungwa tu baby ndio nahamia kwako sio moja kwa mojanikusikie sasa unasema man u ,,utakomaa
SimjuiWelbeck anakusalimia shemela
kisaa umeona tunachukua ubingwa ?
Mm simba, na chelseaWewe thimba tu
hivi ndio leoKesho mtu anaondoka na mtu
Mambo mpenzi wangu..ukiona hivyo ujue hana timu maalum inayoshinda ndio yake