Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mlinzi ndiyo tatizo ‍♂️‍♂️‍♂️
5708ccba3e01c0ba039a0ff4948a99e7.jpg
mmmmh wewe nakuuaa unataka nimfukuzee uwe huru kumsumbuaa
 
67e1bb3e1671f0cf7a1bf664d37b398a.jpg

Hii picha ni aibu
Umakini wa mtu huanzia kwenye mavazi
Nyerere alikuwa smart kimavazi hadi uongeaji,matendo n.k
JK ndo kabisa japo alikuwa "dhaifu"
Viongozi wengi mahiri mfano Mandela ukiwachunguza picha zao za ujanani utagundua kitu

Hivyo tusimshangae huyu mzee wa kuropoka na kukurupuka km mavazi yake

...........
Rangi hazifanani kabisa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom