Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,230
- 68,262
Ile ndio alama yao. Kama ambavyo nike ike tiki ndo alama yao.Wanamsumbua Nike
Mzee wa
Adidas wanachonikera ni mistari yao tu ile mi3
.........
Mwache sasa Shululu aende na njaa kama atafika kwenye kileleUnanikumbusha 2012 nilipopanda kilimanjaro for the first time..
Ni bonge la adventure..ila uwe na afya pouwa..
Aluta kontinyuaBetter to fight for something than live foe nothing
Kule mkuu ukipanda ni kwere..Mwache sasa Shululu aende na njaa kama atafika kwenye kilele
Halafu baridi lake hatari...watu wanafia huko
.......
Ulifanikiwa kufika kileleni?Unanikumbusha 2012 nilipopanda kilimanjaro for the first time..
Ni bonge la adventure..ila uwe na afya pouwa..
Yes mkuu.!Ulifanikiwa kufika kileleni?
Mkuu sio msimu huu tu hata zamani washawahi kufanya hivyoIle ndio alama yao. Kama ambavyo nike ike tiki ndo alama yao.
Sema msimi huu wameharibu kuweka ile mistari mitatu kwenye usawa wa mbavu badala ya juu ya mabega.
Puma inapendwa sana na timu za Afrika.
Puma na Adidas ni kampuni za mtu na kaka yake.
ADIDAS - All Days I Dream About Sports. Kirefu kisicho rasmi.
Hapo sasaUmaskini ni tatizo
Tunafikiria zaidi kutafuta pesa ya kula
Utapandaje Mlima Kilimanjaro wakati hujashiba?
......
La Liga ligi ya kizembe sanaDSTV wanyonyaji
Siku AzamTv akiabza kuonesha EPL km La Liga na hata iwe buku 50 kwa mwezi ndo utakuwa Mwisho wao
EPL ndo bidhaa inayowabeba
Mi La Liga naangaliaga mara chache tu hata jana nimeikaushia maana kila siku watu wanapigwa 6,4 mara 5
Hata kupaki basi hawawezi?
........
Baridi lake hatari sanaKule mkuu ukipanda ni kwere..
Kuna sehemu kabisa unaonyeshwa hapa alikufa mtu..
Jamaa wameweka mawe na majani
Hii habari sijaielewa vizur ufafanuzi TafadhaliUmesiki T yupo anammendea shunie ndio umekuja..
Endelea kukaa utakuta kombe limeenda kolomije..
DSTV sio mpira tu, mfano wewe bitoz ni mwanasheria, ukiiangalia chanel kama CRIME na ID, pamoja na mambo ya historia kupitia HISTORY, utajifunza vitu vingi sana tofauti kabisa na ulivyofundishwa chuoDSTV wanyonyaji
Siku AzamTv akiabza kuonesha EPL km La Liga na hata iwe buku 50 kwa mwezi ndo utakuwa Mwisho wao
EPL ndo bidhaa inayowabeba
Mi La Liga naangaliaga mara chache tu hata jana nimeikaushia maana kila siku watu wanapigwa 6,4 mara 5
Hata kupaki basi hawawezi?
........
Nilikuwa sijui kirefu aisee, shukrani sanaIle ndio alama yao. Kama ambavyo nike ike tiki ndo alama yao.
Sema msimi huu wameharibu kuweka ile mistari mitatu kwenye usawa wa mbavu badala ya juu ya mabega.
Puma inapendwa sana na timu za Afrika.
Puma na Adidas ni kampuni za mtu na kaka yake.
ADIDAS - All Days I Dream About Sports. Kirefu kisicho rasmi.
Njema za huko mkuuHabari ya asubuhi mkuu
First leg unapigwa 7 halafu mkirudiana hujirekebishi wala kuweka ulinzi wa kueleweka unapigwa tena 5La Liga ligi ya kizembe sana
Njema mkuu japo kwa sasa tuko mkoa mpya wa songweNzuri mkuu mndali, za mbeya
Hivi ww ni mtakatifu kulikoMi mlokole hayo mavitu hapana