Makapuku Forum

Dunia ina mambo
 
Nyongeza

Anavaa namba 9 katika timu ya Nice
 
2/Ladan & Laleh Bijani Hawa walizaliwa Iran mwaka 1979 wakati wa mapinduzi hali iliyopelekea kuwa chini ya matunzo ya daktari hadi miaka michache baadaye
Walikuwa wakitofautiana kwa mambo mengi mfano mmoja alitaka kuwa Wakili huku mwingine alitaka kuwa mwandishi wa habari hali iliyopelekea watamani kutenganishwa japo walielezwa Ni hatari
Wakati wa operesheni ya kuwatenganisha walikuwepo madaktari bingwa wa upasuaji 28 pamoja na wahudumu 100
Baada ya kutenganishwa wakafariki masaa machache baadaye
.......
 
Wapumzike kwa amani
 
RIP
 
1/Giaconno & Giovanni Battista
Hawa walizaliwa mwaka 1877
Kuungana kwao kulisababisha washindwe kutembea na kutumia kiti cha magurudumu maisha yao yote
Walifanya ziara mbalimbali kwa kipindi cha miaka 20
Walifanikiwa kuoa wanawake tofauti

Mwisho
Tukutane J3
............
 
Ahsante mkuu Bitoz kwa top ten murua kabisa.

Ila nimebakiwa na maswali waliwezaje kuoa wakiwa hivyo?
 
Asante bitoz
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…