Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,223
- 39,924
You are genius.....na watz walivyo wasahaulifuIkifika 2019 atakuja na maneno matam
.....hata akishindwa atatangazwa kashinda.....wapi tume huru ya uchaguzi???

You are genius.....na watz walivyo wasahaulifuIkifika 2019 atakuja na maneno matam
.....hata akishindwa atatangazwa kashinda.....wapi tume huru ya uchaguzi???

yaah hata sisi watu wamikoani tuliskia ivyo kariakoo hapafai mvua hatar
Bodyguard yupo mkoani, anaelindwa yupo Dasalamu
Kwanini???hahahha wanaume wa dar wote wanajifanya wanaishi mikoani

Hakuna cha taratibu wala nini. Hapa nilipo nimefura kwa hasira akija tu namdaka kwa mashtakaUsihukumu mkuu wewe zungumza nae kwa utaratibu
Duuh mungu atupe uvumilivu![]()
Ndoa zinavunjika
salama za kwakoZa jion wakuu
Sawa mkuuAlasili njema
Hongera zake kutokupewa kadi hata moja, Asante kwa nukuu mkuuNUKUU YA LEO
Football is a simple game. Twenty-two men chase a ball for 90 minutes and at the end, the Germans always win.
Soka ni mchezo rahisi. Wanaume ishirini na mbili wanakimbiza mpira kwa dakika tisini na mwisho wajerumani watashinda daima.
![]()
Haya maneno yaliwahi kutamkwa na Mwanasoka na mchambuzi wa soka wa kiingereza Gary Wiston Lineker aliezaliwa mjini Leiceter Uingereza . G.W. lineker alizaliwa 30/11/1960.
Gary Lineker amecheza jumla ya michezo 567 na kufunga magoli 330.
Gary amechezea klabu za mpira 5, Leiceter city, Everton, Barcelona, Tottenham na Nagoya Grampus Eight na Timu ya Taifa ya England.
Garry alisema maneno hayo mwaka 1990 walipotolewa sem-final kwa penalti na ujerumani magharibi baada ya kumalizika dakik 90 wakiwa 1-1.
Garry ndio mchezaje wa kiingereza tuu ambaye amechukua kiatu cha dhahabu kombe la dunia( alikuchukua golden boot Fainali za mwaka 1986).
Lakini vile vile ndio mcheza wa kiingereza alieweza kuchukua kiatu cha mfungaji bora kwa timu 3 tofauti za Uingereza..yaani leiceter city, everton na Tottenham Hotspurs
Gary hakuwa kupewa kadi hata moja ya njano wala nyekundu katika maisha yake ya soka.. na kupitia hilo mwaka 1990 FIFA walimzawadia tuzo ya FFPA yaani Fifa Fair Play Award.
Ni mshabuliaji wa kihistoria katka taifa la uingereza na atabaki kuwa moja wa washambuliaji wazuri wa kiingereza.
![]()
![]()
Habari za jioni.
hahaha mm sijui kwakweliKwanini???![]()
AmenNilimuomba Mungu anipe nguvu nae akanipa magumu nijifunze kuwa imara.
Nilimuomba Mungu anipe Hekima na Busara nae akanipa matatizo ya kutatua.
Nilimuomba Mungu Nuru na mwangaza nae akanipitisha katika kiza kinene.
Nilimuomba Mungu anipe ujasiri nae akanipitisha sehemu za hatari niweze kujiokoa.
Nilimuomba Mungu anijaalie moyo wa subira nae ananipitisha katika nyakati ambazo suluhu pekee ni kusubiri.Nilimuomba Mungu anijaalie upendo nae akanipa watu wenye matatizo niwasaidie.
Nilimuomba Mungu furaha nae akanipa nyakati za kulia ili furaha ikija niithamini.
Nilimuomba Mungu anipendelee nae akanipa nafasi mbali mbali.
Nilimuomba Mungu kila kitu ambacho kingefanya nifurahie maisha badala yake akanipa maisha ili nifurahie kila kitu.
Hajanipatia vyote nilivyo taka bali amenipatia kila ninachohitaji.
Kila nyakati katika maisha yetu zina maana japo kuna wakati zinaumiza lakini Mungu anajua kwa nini anakupitisha hapo...huwezi kuwa bora kama hujapitia nyakati mbali mbali kwenye maisha...kadri unavyovuka ndivyo unazidi kuwa bora!
santee kwa nukuuNUKUU YA LEO
Football is a simple game. Twenty-two men chase a ball for 90 minutes and at the end, the Germans always win.
Soka ni mchezo rahisi. Wanaume ishirini na mbili wanakimbiza mpira kwa dakika tisini na mwisho wajerumani watashinda daima.
![]()
Haya maneno yaliwahi kutamkwa na Mwanasoka na mchambuzi wa soka wa kiingereza Gary Wiston Lineker aliezaliwa mjini Leiceter Uingereza . G.W. lineker alizaliwa 30/11/1960.
Gary Lineker amecheza jumla ya michezo 567 na kufunga magoli 330.
Gary amechezea klabu za mpira 5, Leiceter city, Everton, Barcelona, Tottenham na Nagoya Grampus Eight na Timu ya Taifa ya England.
Garry alisema maneno hayo mwaka 1990 walipotolewa sem-final kwa penalti na ujerumani magharibi baada ya kumalizika dakik 90 wakiwa 1-1.
Garry ndio mchezaje wa kiingereza tuu ambaye amechukua kiatu cha dhahabu kombe la dunia( alikuchukua golden boot Fainali za mwaka 1986).
Lakini vile vile ndio mcheza wa kiingereza alieweza kuchukua kiatu cha mfungaji bora kwa timu 3 tofauti za Uingereza..yaani leiceter city, everton na Tottenham Hotspurs
Gary hakuwa kupewa kadi hata moja ya njano wala nyekundu katika maisha yake ya soka.. na kupitia hilo mwaka 1990 FIFA walimzawadia tuzo ya FFPA yaani Fifa Fair Play Award.
Ni mshabuliaji wa kihistoria katka taifa la uingereza na atabaki kuwa moja wa washambuliaji wazuri wa kiingereza.
![]()
![]()
Habari za jioni.
Nzuri mkuu, habari za jijini kwa SuguZa jion wakuu
Mkuu sio mpaka tukusanyike kuna namna nyingi za kuelimishanatukielimishana kwa vikiundi wanakuja na mabomu...
lakini mwisho utajulikana tu
Hongera kwa kutupia 178 KMara ya mwisho Liverpool kuchukua ubingwa marefa walikuwa wanavaa suti![]()
Mukongo umetishaHongera kwa kutupia post [HASHTAG]#177777[/HASHTAG]
Mkuu kuna wakati mabadiliko hufika baada ya sisi kubadilikaYou are genius.....na watz walivyo wasahaulifu![]()
.....hata akishindwa atatangazwa kashinda.....wapi tume huru ya uchaguzi???
![]()
![]()
Hatujambo mpendwa wetuJaman hamjambo wapendwa wangu
Hii nimeisikia LeoJE WAJUA?
Katika muvi ya Terminator 2 Anord Schwiznige aliongea maneno 7000 na akalipwa Dollar 15. Neno "Hosta la vista, Baby" alilipwa Dollar 85,716
