Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nilimuomba Mungu anipe nguvu nae akanipa magumu nijifunze kuwa imara.

Nilimuomba Mungu anipe Hekima na Busara nae akanipa matatizo ya kutatua.

Nilimuomba Mungu Nuru na mwangaza nae akanipitisha katika kiza kinene.

Nilimuomba Mungu anipe ujasiri nae akanipitisha sehemu za hatari niweze kujiokoa.

Nilimuomba Mungu anijaalie moyo wa subira nae ananipitisha katika nyakati ambazo suluhu pekee ni kusubiri.Nilimuomba Mungu anijaalie upendo nae akanipa watu wenye matatizo niwasaidie.

Nilimuomba Mungu furaha nae akanipa nyakati za kulia ili furaha ikija niithamini.

Nilimuomba Mungu anipendelee nae akanipa nafasi mbali mbali.
Nilimuomba Mungu kila kitu ambacho kingefanya nifurahie maisha badala yake akanipa maisha ili nifurahie kila kitu.
Hajanipatia vyote nilivyo taka bali amenipatia kila ninachohitaji.

Kila nyakati katika maisha yetu zina maana japo kuna wakati zinaumiza lakini Mungu anajua kwa nini anakupitisha hapo...huwezi kuwa bora kama hujapitia nyakati mbali mbali kwenye maisha...kadri unavyovuka ndivyo unazidi kuwa bora!

Oh Praise to Lord.
 
1e7c09494935e7a81b12a7e81b30b6fa.jpg

Kwa ushirikiano mnono kabisa wa BlessedHope

Tukutane jioni katika top ten na brother Bitoz.
Asante Nyagei ubarikiwe
 
Nilimuomba Mungu anipe nguvu nae akanipa magumu nijifunze kuwa imara.

Nilimuomba Mungu anipe Hekima na Busara nae akanipa matatizo ya kutatua.

Nilimuomba Mungu Nuru na mwangaza nae akanipitisha katika kiza kinene.

Nilimuomba Mungu anipe ujasiri nae akanipitisha sehemu za hatari niweze kujiokoa.

Nilimuomba Mungu anijaalie moyo wa subira nae ananipitisha katika nyakati ambazo suluhu pekee ni kusubiri.Nilimuomba Mungu anijaalie upendo nae akanipa watu wenye matatizo niwasaidie.

Nilimuomba Mungu furaha nae akanipa nyakati za kulia ili furaha ikija niithamini.

Nilimuomba Mungu anipendelee nae akanipa nafasi mbali mbali.
Nilimuomba Mungu kila kitu ambacho kingefanya nifurahie maisha badala yake akanipa maisha ili nifurahie kila kitu.
Hajanipatia vyote nilivyo taka bali amenipatia kila ninachohitaji.

Kila nyakati katika maisha yetu zina maana japo kuna wakati zinaumiza lakini Mungu anajua kwa nini anakupitisha hapo...huwezi kuwa bora kama hujapitia nyakati mbali mbali kwenye maisha...kadri unavyovuka ndivyo unazidi kuwa bora!
Mungu hujibu Atakavyo. Tena hachelewi wala hawahi. Shida ni sisi binadamu na viherehere vyetu tu!
 
Nilimuomba Mungu anipe nguvu nae akanipa magumu nijifunze kuwa imara.

Nilimuomba Mungu anipe Hekima na Busara nae akanipa matatizo ya kutatua.

Nilimuomba Mungu Nuru na mwangaza nae akanipitisha katika kiza kinene.

Nilimuomba Mungu anipe ujasiri nae akanipitisha sehemu za hatari niweze kujiokoa.

Nilimuomba Mungu anijaalie moyo wa subira nae ananipitisha katika nyakati ambazo suluhu pekee ni kusubiri.Nilimuomba Mungu anijaalie upendo nae akanipa watu wenye matatizo niwasaidie.

Nilimuomba Mungu furaha nae akanipa nyakati za kulia ili furaha ikija niithamini.

Nilimuomba Mungu anipendelee nae akanipa nafasi mbali mbali.
Nilimuomba Mungu kila kitu ambacho kingefanya nifurahie maisha badala yake akanipa maisha ili nifurahie kila kitu.
Hajanipatia vyote nilivyo taka bali amenipatia kila ninachohitaji.

Kila nyakati katika maisha yetu zina maana japo kuna wakati zinaumiza lakini Mungu anajua kwa nini anakupitisha hapo...huwezi kuwa bora kama hujapitia nyakati mbali mbali kwenye maisha...kadri unavyovuka ndivyo unazidi kuwa bora!
Nilimuomba Mungu anijaalie moyo wa subira nae ananipitisha katika nyakati ambazo suluhu pekee ni kusubiri.Nilimuomba Mungu anijaalie upendo nae akanipa watu wenye matatizo niwasaidie

hiki kipande kimenuhusu sana
 
Nilimuomba Mungu anipe nguvu nae akanipa magumu nijifunze kuwa imara.

Nilimuomba Mungu anipe Hekima na Busara nae akanipa matatizo ya kutatua.

Nilimuomba Mungu Nuru na mwangaza nae akanipitisha katika kiza kinene.

Nilimuomba Mungu anipe ujasiri nae akanipitisha sehemu za hatari niweze kujiokoa.

Nilimuomba Mungu anijaalie moyo wa subira nae ananipitisha katika nyakati ambazo suluhu pekee ni kusubiri.Nilimuomba Mungu anijaalie upendo nae akanipa watu wenye matatizo niwasaidie.

Nilimuomba Mungu furaha nae akanipa nyakati za kulia ili furaha ikija niithamini.

Nilimuomba Mungu anipendelee nae akanipa nafasi mbali mbali.
Nilimuomba Mungu kila kitu ambacho kingefanya nifurahie maisha badala yake akanipa maisha ili nifurahie kila kitu.
Hajanipatia vyote nilivyo taka bali amenipatia kila ninachohitaji.

Kila nyakati katika maisha yetu zina maana japo kuna wakati zinaumiza lakini Mungu anajua kwa nini anakupitisha hapo...huwezi kuwa bora kama hujapitia nyakati mbali mbali kwenye maisha...kadri unavyovuka ndivyo unazidi kuwa bora!
Ameen Baba mchuchu
 
NUKUU YA LEO

Football is a simple game. Twenty-two men chase a ball for 90 minutes and at the end, the Germans always win.

Soka ni mchezo rahisi. Wanaume ishirini na mbili wanakimbiza mpira kwa dakika tisini na mwisho wajerumani watashinda daima.

c9f465529c000b2e49ba7cc93a43aba2.jpg

Haya maneno yaliwahi kutamkwa na Mwanasoka na mchambuzi wa soka wa kiingereza Gary Wiston Lineker aliezaliwa mjini Leiceter Uingereza . G.W. lineker alizaliwa 30/11/1960.

Gary Lineker amecheza jumla ya michezo 567 na kufunga magoli 330.

Gary amechezea klabu za mpira 5, Leiceter city, Everton, Barcelona, Tottenham na Nagoya Grampus Eight na Timu ya Taifa ya England.


Garry alisema maneno hayo mwaka 1990 walipotolewa sem-final kwa penalti na ujerumani magharibi baada ya kumalizika dakik 90 wakiwa 1-1.

Garry ndio mchezaje wa kiingereza tuu ambaye amechukua kiatu cha dhahabu kombe la dunia( alikuchukua golden boot Fainali za mwaka 1986).

Lakini vile vile ndio mcheza wa kiingereza alieweza kuchukua kiatu cha mfungaji bora kwa timu 3 tofauti za Uingereza..yaani leiceter city, everton na Tottenham Hotspurs

Gary hakuwa kupewa kadi hata moja ya njano wala nyekundu katika maisha yake ya soka.. na kupitia hilo mwaka 1990 FIFA walimzawadia tuzo ya FFPA yaani Fifa Fair Play Award.

Ni mshabuliaji wa kihistoria katka taifa la uingereza na atabaki kuwa moja wa washambuliaji wazuri wa kiingereza.
50d42be5bed29921844e7e62c1dbcd37.jpg
d5c62e673d0b079471392ae08c21b3a2.jpg



Habari za jioni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom