Makapuku Forum

Makapuku Forum

1981 - Tiago Mendes anazaliwa.

Kiungo wa ukabaji wa zamani wa Chelsea, Juventus, Atletico Madrid na timu ya taifa ya Ureno.

Kwasasa yupo zake Atletico Madrid chini ya Kamanda Diego Simione.
a4b0e0118464df4ba6a9a03beadf0f9d.jpg
df30c31ea849ccf724d36452b61af36c.jpg
Nafikiri ni msugua benchi
.......
 
Serikali haina hela
Hata hizo ajira 52 ni danganya toto tu
52000-10000= 40000
Yaani miaka 3 ajira zitatoka 40000 na bado wanapunguza wengine
Hivyo miaka mitatu ajira mpya ni km 20000 tu
Pia tangu aingie madarakani anapunguza tu wafanyakazi Hivyo Unaweza kukuta wamefukuzwa 60k zen wanaajiriwa 40k halafu watu wanashangilia eti ajira mpya
Wajinga ndio waliwao

.........
anaipeleka shimoni ccm yaan 2020 sijui kama patatosha hafikilii anaowafukuza kazi inakuaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom