Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,869
ahhahaahUnaweza kutumegea ka-experience kako japo kiduchu???
ahhahaahUnaweza kutumegea ka-experience kako japo kiduchu???
Halafu alisema eti ni bora timu yenu ibadili ligi
ile sio timu ni shule
Hahahhah una utani na shemela wangu shululuile sio timu ni shule
ChaplinBaba mchungaji
ChaplinBaba mchungaji
Mama lee wangeBaba mchuchu wange

hahahhMama lee wange![]()
Na Johnny Depp unamchukuliaje labda kwa muvi zake.
Mdadisi!!!
Weeee humjui joohny depp vzr mm karibia muvi zake zote nimeona..hata za kigaidi na mapigano yupo fresh...Yule lazima hatakua anakautaila kidogo
![]()
Kwa ushirikiano mnono kabisa wa BlessedHope
Tukutane jioni katika top ten na brother Bitoz.

Pesa sabuni ya roho, watu wasingekuwa wanagombania daladala kuwahi makazini kutafuta pesa, chezea pesa wewemm mushenga wala sipendi simuombi kabisa lee ata akinipa nakataa
hahahahaPesa sabuni ya roho, watu wasingekuwa wanagombania daladala kuwahi makazini kutafuta pesa, chezea pesa wewe
Sifahamu aisee, wanyiha niliwaogopa sanaHuku wazima mkuu unajua kizungumza kinyiha? Maana uliniambia ulikuwa unakaa vwawa