Makapuku Forum

Makapuku Forum

iyo ndo point uchumi wa ndani iliukue unaitaji nguvu na tija kutoka ndani ya nchi yenyewe hawezi akaja mchina eti ajenge uchumi wa tz ..

Mkuu tujitahidi kutengeneza uchumi imara ili tuwe wawekezaji wa ndani tutakao toa ajira kwa watanzania wenzetu na hii itatujengea jina lisilo futika katika maisha ya watu wengi
 
Spain LaLiga
0b57c7819036caa152bde25127bc32c2.jpg
wakati mwingine waga naona laliga malaga na seville izi team mbili zinaushindani kama ilivyo barca na r.madrid
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom