Vicent anawapiga dongo wenzie
Mara ya mwisho Liverpool kuchukua ubingwa marefa walikuwa wanavaa suti![]()


una utani na mukongoZimefikaMwambie nami namsalimia
asee! huo wino kuupata ilikuwa ishu sana
hiki kidogo na sigara zake tu tayari kinaonekana kama kitejaArdi Rizal
Kijana aliyeushtua ulimwengu kwa kuvuta sigara 40 kwa siku sasa ana miaka 9
Hapa akiwa na miaka miwili![]()
Hapa akituonesha picha yake ya utotoni akiwa na miaka miwili![]()
Jinsi alivyo sasa![]()
AsanteYetu sote![]()
mara ya mwisho kuchukua ubingwa upi haswa?Mara ya mwisho Liverpool kuchukua ubingwa marefa walikuwa wanavaa suti![]()
![]()
Kwa ushirikiano mnono kabisa wa BlessedHope
Tukutane jioni katika top ten na brother Bitoz.

Nilikua napuliza 40-43Muende sawa kivipi
Hongera kwa kuacha na kumrudia Mungu,Mwenyezi Mungu akuimarishe katika hiloTukikua tunaenda nae ngoma sawa ila mi nmewacha baada ya kumrudia mungu
Naonq suti za kaptura hapaMara ya mwisho Liverpool kuchukua ubingwa marefa walikuwa wanavaa suti![]()
