Makapuku Forum

Makapuku Forum

Serikali haina hela
Hata hizo ajira 52 ni danganya toto tu
52000-10000= 40000
Yaani miaka 3 ajira zitatoka 40000 na bado wanapunguza wengine
Hivyo miaka mitatu ajira mpya ni km 20000 tu
Pia tangu aingie madarakani anapunguza tu wafanyakazi Hivyo Unaweza kukuta wamefukuzwa 60k zen wanaajiriwa 40k halafu watu wanashangilia eti ajira mpya
Wajinga ndio waliwao

.........
Huo ndio ukweli
 
1972 - Dwayne Johnson anazaliwa.

Ni Msanii wa filamu na mwanamieleka mwenye asili ya Marekani na Canada.
9dfc253f0a93bb081ecb9346c8674b3f.jpg
ca88c78d8ed282f372f342c7a3d3517f.jpg
35b51870ca2d646a456322c9df4452cf.jpg
 
Serikali haina hela
Hata hizo ajira 52 ni danganya toto tu
52000-10000= 40000
Yaani miaka 3 ajira zitatoka 40000 na bado wanapunguza wengine
Hivyo miaka mitatu ajira mpya ni km 20000 tu
Pia tangu aingie madarakani anapunguza tu wafanyakazi Hivyo Unaweza kukuta wamefukuzwa 60k zen wanaajiriwa 40k halafu watu wanashangilia eti ajira mpya
Wajinga ndio waliwao

.........
Tanzania yangu
 
1975 - David Beckham anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Man Utd, Real Madrid, Ac Milan, LA Galaxy na timu ya taifa ya Uingereza.

Mmoja kati ya wanasoka tajiri, maarufu na wenye mvuto wa kibiashara.

Alitwaa Uefa Champions League akiwa na Man Utd mwaka 1999.

Wakati anamuoa Victoria Adams wachezaji wenzake wa Man Utd walihudhuria isipokuwa Kepteni wao Roy Keane aliyesema ni bora atoke out na Mbwa wake kuliko kuhudhuria sherehe ya Beckham.

Aliondoka Man Utd timu aliyoipenda baada ya kugombana na Kocha Sir Alex ambapo katika mechi ya robo fainali ya F.A Beckham alipigwa na kiatu cha uso na kuchanika wakati wa mapumziko na kocha wake Ferguson.
74e2257c541783de013e4490f62c1e3c.jpg
9ec87b089b2f5ccd7b51b5a8716223ab.jpg
82057436030202e444304d1d75ae61ea.jpg
7f09c8d5a2b80d1f28bffca93e45a4df.jpg

Mi nalikumbuka hili goli v Greece dk za majeruhi England ilikuwa nyuma 2:1 akasawazisha na Waingereza kufuzu Euro
......
 
1975 - David Beckham anazaliwa.

Mchezaji wa zamani wa Man Utd, Real Madrid, Ac Milan, LA Galaxy na timu ya taifa ya Uingereza.

Mmoja kati ya wanasoka tajiri, maarufu na wenye mvuto wa kibiashara.

Alitwaa Uefa Champions League akiwa na Man Utd mwaka 1999.

Wakati anamuoa Victoria Adams wachezaji wenzake wa Man Utd walihudhuria isipokuwa Kepteni wao Roy Keane aliyesema ni bora atoke out na Mbwa wake kuliko kuhudhuria sherehe ya Beckham.

Aliondoka Man Utd timu aliyoipenda baada ya kugombana na Kocha Sir Alex ambapo katika mechi ya robo fainali ya F.A Beckham alipigwa na kiatu cha uso na kuchanika wakati wa mapumziko na kocha wake Ferguson.
HBD David Beckham
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom