1975 - David Beckham anazaliwa.
Mchezaji wa zamani wa Man Utd, Real Madrid, Ac Milan, LA Galaxy na timu ya taifa ya Uingereza.
Mmoja kati ya wanasoka tajiri, maarufu na wenye mvuto wa kibiashara.
Alitwaa Uefa Champions League akiwa na Man Utd mwaka 1999.
Wakati anamuoa Victoria Adams wachezaji wenzake wa Man Utd walihudhuria isipokuwa Kepteni wao Roy Keane aliyesema ni bora atoke out na Mbwa wake kuliko kuhudhuria sherehe ya Beckham.
Aliondoka Man Utd timu aliyoipenda baada ya kugombana na Kocha Sir Alex ambapo katika mechi ya robo fainali ya F.A Beckham alipigwa na kiatu cha uso na kuchanika wakati wa mapumziko na kocha wake Ferguson.