Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 19,226
- 68,242
1998 - Benki Kuu ya Ulaya yaanzishwa huko Brussels.
Goodmorning comedian, how are you?have a Blessed daygood morning every body here
Morning mkuu Shululu asante ubarikiwe sana kazi yako ni njemaMorning makapuku, magazeti ya leo yatawaijia hivi punde
Amen Mama MchungajiDamu ya Yesu iwafunike
Hesabu 6:24
Bwana akubarikie na kukulinda![]()

Asante mkuu Shululu ubarikiweView attachment 503580Mpaka hapo sina la ziada tukutane tena kesho
Wazee wa kiki!!!hahahha hali ni mbaya kwa watumishi aisee hadi umri mi nafikir hapo angefatilia utendaji tu wa kazi maswala ya umri ni private issues
Hofu ,wafanyakazi wakiungana wana nguvu kubwaLeo katika Historia:
1933 - Adolf Hitler apiga vita vyama vya Wafanyakazi nchini Ujerumani.
Leo katika Historia:
1933 - Adolf Hitler apiga vita vyama vya Wafanyakazi nchini Ujerumani.
Huwa nasikia bado mzima sijui n kweli?2011 - Osama Bin Laden ambaye ni mshukiwa wa mashambulizi ya kigaidi ya September 11 anauwawa na Majeshi maalum ya Marekani huko Abbottabad nchini Pakistan.
HBD Dwayne Johnson1972 - Dwayne Johnson anazaliwa.
Ni Msanii wa filamu na mwanamieleka mwenye asili ya Marekani na Canada.
Hongera Rais wa kwanza mwanamke nchini Panama Mireya Moscoso1999 - Mireya Moscoso anakuwa Rais wa kwanza mwanamke kuchaguliwa nchini Panama.
Serikali haina helahahahha hali ni mbaya kwa watumishi aisee hadi umri mi nafikir hapo angefatilia utendaji tu wa kazi maswala ya umri ni private issues
1945 - Vital Kuu ya Pili ya Dunia: Urusi yatangaza kuushikilia mji wa Berlin na kuhitimisha vita hiyo kwa upande wa Ujerumani ambapo Warusi wakaweka bendera yao katika jengo la Reichstag.