Hiyo huwa ni plan ya kumuuaHuyu ndie anadonoa kichwani,wenyeji wanatembea na vyungu vya uji kichwani wapitapo porini,akidonoa tu anauawa na uji
Nyagei atakua na vielement vya kichinaUnapenda sana nyoka?
hahahah nyie jamaanUnamaliza 2kg???
Mhhhhhhmhhhhhhapana bana ni handsome kwangu tu mm ana sura ya kiume
Niaje shededehabar za kwenu ndugu zangu mko okey??
AiseeeWaliwaleta kule Florida eti wawasaidie kutatua tatizo la panya wakazaliana haraka haraka panya walipoisha wakaanza kula nyoka wenyeji, ndege, samaki, sung urais, squirrel na kila aina ya viumbe wenyewe hawachagui. Sasa wamegeuka na kusababisha environmental crisis ya hali ya juu. Leo hii ukikamata mmoja unalipwa mpaka dola 100 kulingana na ukubwa wake. Kwa wenye utaalamu wa kukamata nyoka waende huko wakapige mzigo...
shemela mm ni muoga sana ila hao viumbe nawaogopa sna siku nikienda snake park halaf niwekewe shingoni nahisi nitatoa haja zote
Asante sna Bitoz ubarikiwe1/The Titanoboa SnakeInakadiriwa alitoweka duniani takribani miaka Milioni 50 iliyopita
Alikuwepo huko Colombia ndo kuna makumbusho ya mabaki yake
Alikuwa na urefu wa futi 42 na uzito karibia tani 1
Upana wake ni sawa na hips za mwanamke?
Ahsanteni kwa kuwa nami
Mwisho
.......
mushenga niambie kilichokufurahisha nn kukwambia bae wangu ni handsome au
Tangu Lee amerudi umekuwa adimu sana humunipo mama mchuchu me pia nawamiss sana
Wenye phobia ya nyoka leo kazi wanayo. Ukifikia kuchambua aina za mende uniite6/The Scrub PythonHawa ni jamii ya chatu wansopatikana Australia pekee
Urefu wao huweza kufika hadi futi 28
.......
Huyo ndio bitozChapio la siku
Ngoka-Nyoka
Sisi pia tumekumiss, niko poa shemelashemela ni poa miss u
unaendeleaje shemela wange
Huyo atakuwa hajui namna ya kuwalishaMbona kuna sister angu kaanza kufuga imekata miezi 6 hawajafikisha hata 60kg!!!
Kusimamia shamba au kuchunga mbuzilee amemtumbua amempangia kazi nyingine ya kusimamia shambani
Nge jike harafu sasa liwe na mimba, maumivu yake si mchezoWakati ule kijijini Kolomije ukiumwa na nge walikuwa wanaweka maji ya moto wanakukanda nayo halafu wanaweka tumbaku iliyosagwa (ugoro) mahali ulipoumwa. Sijui kama hii ilikuwa inasaidia cho chote kwa sababu maumivu ndiyo yalikuwa kama yanazidi. Maji ya moto nadhani ndiyo unapanua mishipa ya damu ili sumu isafiri kwa urahisi zaidi lakini ndiyo tiba za jadi hizo. Solace yangu ilikuwa ni katika ufahamu kwamba siwezi kufa kwa kuumwa na nge japo kuna jamii moja ya nge huko Atacama desert ikikutandika unaweza ku-RIP. Maumivu ni makali sana na utake usitake machozi yatakutoka tu hasa ukitandikwa na nge jike aisee ni shida. Na kesho yake ukikosea ukagusa maji ya baridi ngoma inaanza upya...
frsh kwema ??Niaje shedede
Mama mchungaji Kala chumvi nyingimama mchuchu huu uji nakumbuka mama angu alikua anatuadithia wanasema ulikua mtamu sana mm ata siujui bulger
1/The Titanoboa SnakeInakadiriwa alitoweka duniani takribani miaka Milioni 50 iliyopita
Alikuwepo huko Colombia ndo kuna makumbusho ya mabaki yake
Alikuwa na urefu wa futi 42 na uzito karibia tani 1
Upana wake ni sawa na hips za mwanamke?
Ahsanteni kwa kuwa nami
Mwisho
.......