Shadrack K. Lwila
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 4,925
- 14,297
hiv shemlake naww unafurahia mimi kutumbuliwa???lee amemtumbua amempangia kazi nyingine ya kusimamia shambani
hiv shemlake naww unafurahia mimi kutumbuliwa???lee amemtumbua amempangia kazi nyingine ya kusimamia shambani
Shusha Nondo mkuuHuyo atakuwa hajui namna ya kuwalisha
Hata chakula chao kinavyo takiwa kutengenezwa
Asante bitoz kwa top1/The Titanoboa Snake![]()
Inakadiriwa alitoweka duniani takribani miaka Milioni 50 iliyopita![]()
Alikuwepo huko Colombia ndo kuna makumbusho ya mabaki yake
Alikuwa na urefu wa futi 42 na uzito karibia tani 1
Upana wake ni sawa na hips za mwanamke?
Ahsanteni kwa kuwa nami
Mwisho
.......
ten 
Mkuu ndo ulikuwa ripota wa tukio nini maana picha inasema yote
China kula nyoka ni kugusa tuNyagei atakua na vielement vya kichina
Blessed Hope kazi anayoWenye phobia ya nyoka leo kazi wanayo. Ukifikia kuchambua aina za mende uniite![]()
Unagawa kazi wakati umefukuzwa kazi na unae mgawia ndo amepewa hiyo kazi


aisee iyo kazi naiweza mimi peke yangu........ once ushaidi nnao hapa kiganjan kwanguKwema mkuu, vip pande hizofrsh kwema ??
Mimba!!! Unajuaje???.....Hivi nge anazaa???Nge jike harafu sasa liwe na mimba, maumivu yake si mchezo
Haaaaahaaaa, Lee hataki hata kusikiakwanzia leo nakutea uwe assistance wangu kumlinda shunie
piga kaziiii
SijajuaKwanini ni ngumu kuwakamata?
Hizi ndo kauli za kipindi hiki cha anko amebana
kipande hik sio njema saaana siumeona nimetimuliwa mwenzioKwema mkuu, vip pande hizo
Magazeti ya leomama yangu nimedhamini nini mimi![]()
![]()
![]()
najua tu wew ndo umesababisha kibarua kiote nyasi![]()



hivi kwani umeachishwa kweli boss wako sio wa mchezo mchezoMndali kwenye ubora wakeUnagawa kazi wakati umefukuzwa kazi na unae mgawia ndo amepewa hiyo kazi
hahaha jamaan shemela ukimaanishaTangu Lee amerudi umekuwa adimu sana humu