Makapuku Forum

Makapuku Forum

2/The Green Anaconda
d5dbb4d88e7d76133c19836c7104dca4.jpg
7a823e60a312cff01d00b6e4535bb2dd.jpg
Huyu kila mtu anamjua....Muvi ya Anaconda aliyoicheza Jeniffer Lopez inafahamika
Wanapatikana huko kwenye misitu ya Amazon Brazil
Wastani wa urefu wao ni futi 15 hadi 18
Aliyeweka rekodi alikuwa na futi 29 ila inasemekana waneshawahi kuwepo wakubwa zaidi ya huyo ila ushahidi bado hauhaonekana
......
 
2/The Green Anaconda
d5dbb4d88e7d76133c19836c7104dca4.jpg
7a823e60a312cff01d00b6e4535bb2dd.jpg
Huyu kila mtu anamjua....Muvi ya Anaconda aliyoicheza Jeniffer Lopez inafahamika
Wanapatikana huko kwenye misitu ya Amazon Brazil
Wastani wa urefu wao ni futi 15 hadi 18
Aliyeweka rekodi alikuwa na futi 29 ila inasemekana waneshawahi kuwepo wakubwa zaidi ya huyo ila ushahidi bado hauhaonekana
......
Nakumbuka movie yake lile joka
 
Wakati ule kijijini Kolomije ukiumwa na nge walikuwa wanaweka maji ya moto wanakukanda nayo halafu wanaweka tumbaku iliyosagwa (ugoro) mahali ulipoumwa. Sijui kama hii ilikuwa inasaidia cho chote kwa sababu maumivu ndiyo yalikuwa kama yanazidi. Maji ya moto nadhani ndiyo unapanua mishipa ya damu ili sumu isafiri kwa urahisi zaidi lakini ndiyo tiba za jadi hizo. Solace yangu ilikuwa ni katika ufahamu kwamba siwezi kufa kwa kuumwa na nge japo kuna jamii moja ya nge huko Atacama desert ikikutandika unaweza ku-RIP. Maumivu ni makali sana na utake usitake machozi yatakutoka tu hasa ukitandikwa na nge jike aisee ni shida. Na kesho yake ukikosea ukagusa maji ya baridi ngoma inaanza upya...
Very new knowledge.....ukigusa maji baridi maumivu kuanza tena!!!

Naskia venom zao ni dili!!!
 
4/The Burmese Python
194bb3204b69fb7f0aceac271ac4407c.jpg
cdd9f5bc8bf4284d7f33ba8490ca2868.jpg
Chatu hawa wanapatikana nchini Burma barani Asia
Huwa na urefu wa futi 13 hadi 20
Wana uwezo wa kujiongezea joto mwilini mwao
Sijapata rekodi sahihi za mrefu zaidi kuonekana si mnajua hiyo nchi ya kushamba
..........
Waliwaleta kule Florida eti wawasaidie kutatua tatizo la panya wakazaliana haraka haraka panya walipoisha wakaanza kula nyoka wenyeji, ndege, samaki, sungura, squirrel na kila aina ya viumbe wenyewe hawachagui. Sasa wamegeuka na kusababisha environmental crisis ya hali ya juu. Leo hii ukikamata mmoja unalipwa mpaka dola 100 kulingana na ukubwa wake. Kwa wenye utaalamu wa kukamata nyoka waende huko wakapige mzigo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom