Makapuku Forum

Makapuku Forum

Tangu Lee amerudi umekuwa adimu sana humu
175c66d0e40c02bf1825e047a3f817c6.jpg
 
2/The Green Anaconda
d5dbb4d88e7d76133c19836c7104dca4.jpg
7a823e60a312cff01d00b6e4535bb2dd.jpg
Huyu kila mtu anamjua....Muvi ya Anaconda aliyoicheza Jeniffer Lopez inafahamika
Wanapatikana huko kwenye misitu ya Amazon Brazil
Wastani wa urefu wao ni futi 15 hadi 18
Aliyeweka rekodi alikuwa na futi 29 ila inasemekana waneshawahi kuwepo wakubwa zaidi ya huyo ila ushahidi bado hauhaonekana
......
Anaconda alijulikana sana kupitia j,lol
 
Waliwaleta kule Florida eti wawasaidie kutatua tatizo la panya wakazaliana haraka haraka panya walipoisha wakaanza kula nyoka wenyeji, ndege, samaki, sungura, squirrel na kila aina ya viumbe wenyewe hawachagui. Sasa wamegeuka na kusababisha environmental crisis ya hali ya juu. Leo hii ukikamata mmoja unalipwa mpaka dola 100 kulingana na ukubwa wake. Kwa wenye utaalamu wa kukamata nyoka waende huko wakapige mzigo...
Trump atakubali?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom