Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
nipo mama mchuchu me pia nawamiss sanaAmen dear za siku upo nakumis
nipo mama mchuchu me pia nawamiss sanaAmen dear za siku upo nakumis
urudi unaenda wapi mushenga
Poa mkuu ni mradi ambao naona unaweza kuniongezea kipatoWanalipa sana hao
Aisee5/The African Rock Python
Jamii hii ya chatu linapatikana barani Afrika![]()
Huwa na urefu wa futi18 hadi 26
Rekodi zinaonesha wapo waliofika futi 28
Hawa chatu ni ngumu kuwakamata
.....
shikamoo sisi wazima sijui wwhabar za kwenu ndugu zangu mko okey??
shemela ni poa miss uShemela niaje
.....nieShuuu!!

Mama mchungaji una wajukuu wangapiSanaaaa,ulijuaje,wakati huo BULGER
Afandeeeehabar za kwenu ndugu zangu mko okey??
ahhaahhah ujue nilijua alikua ananiita.....nie![]()
Ebhana ndioh!!!3/The Reticulated Python
Wanapatikana huko Asia Kusini Mashabiki![]()
Huwa na wastani wa futi 20
Mkubwa zaidi kurekodiwa ni mwenye futi 30
........
SanaAnatisha
Wakati ule kijijini Kolomije ukiumwa na nge walikuwa wanaweka maji ya moto wanakukanda nayo halafu wanaweka tumbaku iliyosagwa (ugoro) mahali ulipoumwa. Sijui kama hii ilikuwa inasaidia cho chote kwa sababu maumivu ndiyo yalikuwa kama yanazidi. Maji ya moto nadhani ndiyo unapanua mishipa ya damu ili sumu isafiri kwa urahisi zaidi lakini ndiyo tiba za jadi hizo. Solace yangu ilikuwa ni katika ufahamu kwamba siwezi kufa kwa kuumwa na nge japo kuna jamii moja ya nge huko Atacama desert ikikutandika unaweza ku-RIP. Maumivu ni makali sana na utake usitake machozi yatakutoka tu hasa ukitandikwa na nge jike aisee ni shida. Na kesho yake ukikosea ukagusa maji ya baridi ngoma inaanza upya...Dawa yake baada ya kuumwa nae ni nini?
Ndiye, they call them KobokoHuyu ndie anadonoa kichwani,wenyeji wanatembea na vyungu vya uji kichwani wapitapo porini,akidonoa tu anauawa na uji
Uaiwaogope shemelanitakufwaa nawaogopa sana sana
mama mchuchu huu uji nakumbuka mama angu alikua anatuadithia wanasema ulikua mtamu sana mm ata siujui bulgerSanaaaa,ulijuaje,wakati huo BULGER
Mbona kuna sister angu kaanza kufuga imekata miezi 6 hawajafikisha hata 60kg!!!Wanalipa sana hao