BravoWe acha tu. Tiketi imeshakatwa na kuahirisha safari kisa nge was not an option. Niliichukulia kama challenge yangu kielimu and I kept the fire kiasi kwamba nikaweza kupata first class tupu mpaka Mlimani. Usichezee scorpion hata siku moja mkuu
Nawe unatapika?kuna case ni ngumu sana mtu akiingia tu kwenye chombo tayariMimi huwa natwanga tu bila dawa
Ndege na Boti nimepanda no problem.....ila majengo marefu nitaota sakafu/floor imejengwa kwa mbao nyembamba au zilizooza then zinaanza kuvunjika usiombe kukutwa na bwana pepsiCome on Mukongoman! Una batophobia? Ndege huwa unapanda na huogopi? Ulianza anzaje kuogopa haya majengo marefu?
Ila hizi phobia zingine hizi hata sijui zinaanzaje. Mimi siku hizi nikiona mende chumbani silali aisee mpaka nimtafute nimuue. Nikilala bila kumuua basi nitaota limende likuuuubwa linaninyemelea sasa hata kulikimbia siwezi. Hapo mwanaume ni kutoka jasho balaa. Ajabu wadudu wengine na hata nyoka sina tatizo nao kabisa. Huwa nashangaa sana kwa sababu nimekulia kijijini na mende kibao and it was no big deal.
Pole sana ,ni shidaAah boti, ndege siogopi!!!.....balcony za magorofa marefu niangalie chini!!!
Tumshukuru muumba kwa kutupa uhaiNipo kabisa mzima wa afya...
Phobia niliyonayo ni juu ya wanyama wa porini ila hawa sijui wadudu au nyoka napenda kuwaua kila nikiwaona.Nyagei, wewe huna phobia yo yote?
I seeeBelievable.....umbali huo tena glass floor Weeh.....shida sio kupita muda huo! Shida ni ndoto zitakazofuata baadae
HahahahaKatili lakini ana Babyface!!!
HahahahahaKatili ila ana Babyface!!!
Amen Mama MchungajiKUMTEGEMEA MUNGU KUNA FAIDA
ISAYA 40
29 Huwapa nguvu wazimiao ,humwongezea nguvu yeye asiyekuwa na uwezo
Pale unapochoka fikra unapowaza sana unapokata tamaa ndipo Mungu anapokupa nguvu na kinga za kila shambulizi pia kukuvusha juu ya hali uliyo nayo ,hivyo pambana na hali hiyo kwani Bwana anatamalaki na kukupa utulivu na ushindi ili kumshinda adui anapotaka kukudhuru
Tumuombe Mungu atusaidie tumkabidhi Mungu njia zetu zote naye hatatuacha
TUOMBE
MUNGU BABA MWENYEZI tunakushukuru sana kwa ulinzi wako na yote unayotutendea,Mungu,umetutoa mbali tunakushukuru sana.
Ponya wagonjwa,fariji wafiwa,fariji wajane na yatima,tembea nasi Baba nyoosha mapito yetu,peke yetu hatuwezi
Tunajikabidhi miili na roho zetu tukinge na hatari zote za mwili na roho.
Roho Mtakatifu Mfariji wetu tufundishe ,tuongoze,tuonyeshe njia sahihi ya kuishi maisha ya kumpendeza Mungu
Asante kwa kila linakotokea maishani mwetu
Tunaomba yote kwa jina la Yesu mpatanishi na mwokozi wetu .
Amen
Muwe na siku njema,wiki njema,mwezi mwema.....MBARIKIWE
Pole sanaNdege na Boti nimepanda no problem.....ila majengo marefu nitaota sakafu/floor imejengwa kwa mbao nyembamba au zilizooza then zinaanza kuvunjika usiombe kukutwa na bwana pepsi
Kaka utwaku MbeyaTumshukuru muumba kwa kutupa uhai
Aisee. Nitafanya hivyo. Hali hii imenifanya niwe msafi sana ili mende wasiweke makazi. Watu wananisifia kwa usafi uliopindukia kimo kumbe hawajui sababu yake. Uzuri hali hii haijitokezi mara kwa mara. Naweza kumaliza miezi sita hata mwaka halafu siku moja nikiona mende tu nightmare zinakuja.Anz kukemea kwanzq utajua ni nini,pia inategemea nq imani yako penda kumwaga maji ya baraka ndani ya nyumba nq mazingira au nunua mafuta ya mzeituni ,chumvi changanya kwenye maji, yaombee yawe damu ya Yesu,kwa imani mambo mengi yatabadilikq
Kuna mapaka yakikua kila siku yanalala dirishani kwangu na kulia vibayaaaa,nikaombea maji nikaweka chumvi nikaweka imani ,hakika baada ya wiki nilsikia harufu za ajabu,yalikufa
Karibu sanaAmen Mama mt
Twisa dada utwa kudasalamuKaka utwaku Mbeya
Asante kushukuru,amini utashinda,USIOGOPE,HUKU MAKAPUKU BWANA MIMI NAJIFUNZA MENGI,NAJISIKIA VIZURI KUWA HAPA MUNGU AWABARIKI WALIOWAZA HILIAisee. Nitafanya hivyo. Hali hii imenifanya niwe msafi sana ili mende wasiweke makazi. Watu wananisifia kwa usafi uliopindukia kimo kumbe hawajui sababu yake. Uzuri hali hii haijitokezi mara kwa mara. Naweza kumaliza miezi sita hata mwaka halafu siku moja nikiona mende tu nightmare zinakuja.
Asante sana mtumishi. Halafu eti wanasema huku Makapuku hakuna lolote la maana!
Ila kuna siku nilikuwa site huko wilayani Bahi mida ya usiku nilikuwa niko na mrembo wa kigogo jirani nasi kulikuwa na mti, so ili kuweza kumlaghai yule manzi nilipitisha mkono kwa mabega yake ili awe close nami suddenly nilihisi kuchomwa na kitu ila nilipotezea nikidhani ni sungusungu mdudu kumbe ni nge, nilishtuka maumivu yalipozidi na mkono kuanza kuishiwa nguvu, yule manzi nilimuacha na kurejea nilipofikia. Nilijichanja kidogo na kukamua sumu ila sikulala usiku ule na asubuhi ndio mkono hauna nguvu kabisa.Nyagei, wewe huna phobia yo yote?