Makapuku Forum

Makapuku Forum

France league 1
09560986a90b5237998ee6fdeada9c06.jpg
PSG anamtengenezea nafasi ya ubingwa Monaco baada ya jana kukubali kipigo toka kwa Nice
Msimamo ulivyo sasa
11fe6a548d0adaa2c56338c35e125ddd.jpg
 
Hawakufanya vizuri kidato cha nne ,marks zao zikawa haziruhusu kuendelea,wakapata watu kwa wakati tofauti wakabadili passmarks za masomo,wakaenda vyuo,na wakaemdelea kusoma na kujiendeleza na vyuoni walifaulu na wakapata ajira kwa majina yao .sasa hapo inamaana waligushibvile vyeti vya mwanzo
Case yao ni sawa na ya Bashite. Kama Bashite ana makosa, na wao wana makosa japo inauma kuona kuwa mwenzao Bashite hajaguswa.
 
Case yao ni sawa na ya Bashite. Kama Bashite ana makosa, na wao wana makosa japo inauma kuona kuwa mwenzao Bashite hajaguswa.
Za asubuhi mkuu umeamkaje?vipi hali yako?pole Mungu aendelee kukuimarisha.

Nimesoma ujumbe wako natamani kuelewa zaidi,unisaidie kufafanua hapo,khs kesi kufanana na Bashite,napenda kujifunza ili pia nipate maneno ya kuwaeleza wanielewe na wachukukuliw hili suala kwa kulielewa,hivi wapo njiani wanakuja,nadhani usiku nitakuwa nao hapa
 
Za asubuhi mkuu umeamkaje?vipi hali yako?pole Mungu aendelee kukuimarisha.

Nimesoma ujumbe wako natamani kuelewa zaidi,unisaidie kufafanua hapo,khs kesi kufanana na Bashite,napenda kujifunza ili pia nipate maneno ya kuwaeleza wanielewe na wachukukuliw hili suala kwa kulielewa,hivi wapo njiani wanakuja,nadhani usiku nitakuwa nao hapa
mama mchungaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom