Bwana Yesu asifiwe Mama Mchungaji......ndio Tanzania yetu hiyo ya double standard.....huu ni mwanzo wao mwingine wa kuutafuta mlango wao Mungu aliowafungulia.....when things get tough the tough get going.....waambie sio mwisho wa maisha.....there's still hopeZa asubuhi mkuu umeamkaje?vipi hali yako?pole Mungu aendelee kukuimarisha.
Nimesoma ujumbe wako natamani kuelewa zaidi,unisaidie kufafanua hapo,khs kesi kufanana na Bashite,napenda kujifunza ili pia nipate maneno ya kuwaeleza wanielewe na wachukukuliw hili suala kwa kulielewa,hivi wapo njiani wanakuja,nadhani usiku nitakuwa nao hapa

nafikir tumeshasalimiana nyagei uwe na asubuh njemaNaam Soudy
kazi gani mi naiweza??Njema mkuu za kwako
Lee amerudi lakini ametangaza kukubadilishia kazi


salama mkuu nyageiHabarini za asubuhi Makapuku
Heri ya siku ya wafanyakazi duniani
Pia heri ya mwezi mpya.
Hapa ni vyema tunashukuru tumeamka na siku imeanza vizuriSalama kabisa mkuu za hapo mjini
salama comedianhabar kapukuz
Nzuri tu comedianhabar kapukuz
karibunaombeni niwe memba
Morning le mukongoGood morning watu wa Mungu.....Natumai Mungu kawaamsha salama.....May mosi hiyo wandugu 1/3 ya mwaka ndo ishakata hivyo, Je malengo yako yamefika wapi???.....
Karibunaombeni niwe memba