shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Tupo pamoja mama mchungajiMungu akubariki mkuu Shululu asante kwa magazeti kazi yako ni njema
Tupo pamoja mama mchungajiMungu akubariki mkuu Shululu asante kwa magazeti kazi yako ni njema
Wakati mngine tunaita machozi ya furaha..
Mguu wa alie nyumaMmh,naye huyu kaka pozi gani hili
Kwa niniMi ugenini huwa silali usingizi kabisa inanichukua muda sana kuzoea labda nikae zaidi ya week
Tunachafuliana C.V PapaaMambo yako hayo

Ni poa tu mkuu
Japo huko Ulaya sio kabisa

Unbelivable fact really
Yes nadhani panya wana uwezo mkubwa,nimewahi ona panya wanatumika kunusa specimen ii kupima TB ,na ikipimwa kwa madawa inakuwa positive kama panya aivyokuta,asilimia kubwa,na pia panya walifunzwa kutegua mabomu ya ardhini nimewahi ona wakiwa mafunzoni,very interesting,nadhani wakipewa brain cells za binadamu watafanya mengi zaidi,.
Asante sana Nyagei nimejifunza mengi hapo na kukumbuka mengi ubarikiweMorning Kapuku's
Wakati tunasubiria magazeti mubashara
Tupate unbelievable fact UF
Na leo tutaangalia zaidi kwenye ubongo

...and just like that, we have a new era in the heavyweight division. After many years of stagnation and lack of enthusiasm under the Klitchiko brothers' domination, a new, young, entertaining and charismatic champion has just been crowned (Joshua). Wuhuuu...Let the new era begin. Heavyweight boxing is back baby![]()
Nimefurahia sanaUbarikiweUsiku mwema makamanda wote na mungu awalinde
Mi ugenini huwa silali usingizi kabisa inanichukua muda sana kuzoea labda nikae zaidi ya week

Mi ugenini huwa silali usingizi kabisa inanichukua muda sana kuzoea labda nikae zaidi ya week

Njema kaka za hukoHabari za pilika wakuu
Karibu sanaI'm fine Madam,.....Amen![]()
Huku kwema dada za hukoNjema kaka za huko