Makapuku Forum

Makapuku Forum

14
68dbd19dd29e5cdfbe79b94e1590748e.jpg
 
BWANA YESU APEWE SIFA

JIONI HII MUNGU ANASEMA NAWE/NAMI YAKUWA

USIOGOPE/NISIOGOPE

1.....maana nimekukomboa;nimekuita kwa jina lako,na wewe u wangu.

2 upitapo katika maji mengi nitakuwa pamoja nawe;na katika moto,hautateketea;wala mwali wa moto hautakuunguza

3.maana mimi ni BWANA MUNGU WAKO,Mtakatifu wa Israel,MWOKOZI wako.....


ISAYA 43:1-3

HALELUIYA

Hakika hatupaswi kuogopa jambo lolote wala kitu chochote MAANA MUNGU YU PAMOJA NASI KUTULINDA

Jambo muhimu ni kumtii

Wakati mgumu,kukosa kazi,kuachwa,kudharauliwa,kukosa kuoa au kuolewa,kukosa watoto ,kuugua,mazingira magumu ,kuuguza isiwe sababu ya kuacha kumwabudu Mungu.

Mungu anatupenda na kamwe hatatuacha.TUSIOGOPE

TUOMBE

MTAKATIFU MTAKATIFU MTAKATIFU BWANA MUNGU WA MAJESHI ASANTE KWA YOTE UNAYOTUTENDEA TUNAKUSHUKURU KWA UPENDO NA WEMA WAKO KWETU,ASANTE KWA ULINZI WAKO NA AHADI ZAKO ZA MILELE TUNAOMBA UTUIMARISHE KIROHO HATA TUNAPOPITIA CHANGAMOTO YOYOTE TUKUONE WEWE,ASANTE BABA KWAKUA UMETUAHIDI ULINZI DAIMA
TUNAOMBA NA KUSHUKURU

AMEN

MBARIKIWE
Aimen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom