BvbSlash
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 233
- 552
mkuu hata huku upo vzr?Saa 6 mkuu
mkuu hata huku upo vzr?Saa 6 mkuu
Hayo maneno ya chumbani hakuna mwenye uthibitidho labla waliowahi kulala nae tuKuna maneno mengine huwa yanachanganya sana, wengine huwa wanasema Michael hakuwa rijali,na hii ilitokana na ajali ambayo aliipata wakati wa ujana /utoto wake
Mbunye ndo nini?Hebu njoo huku tuunganishe mbunye sio unakimbiakimbia

tuko poa mkuuWazima humu ndani
inawezekana kabisa ,maana vijana wa uswahilini ndio tabia zao hizoKumbe anakaa tandale

Kama uko sawa na hauko depressed, hiyo hamu kuna mahali utakuwa umeihamishia. Wajua ilipoenda?![]()

Wazima wa afyaWazima humu ndani
Kama uko sawa na hauko depressed, hiyo hamu kuna mahali utakuwa umeihamishia. Wajua ilipoenda?![]()

Hapana, ila michezo huwa nafuatilia sanamkuu hata huku upo vzr?
Cc werassoninawezekana kabisa ,maana vijana wa uswahilini ndio tabia zao hizo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nikueleze nini mkuu? Hizi ni ndondi na hakuna cha kueleza. Pambano ni saa 4 usiku Wembley Stadium ambapo watu zaidi ya 90,000 watahudhuria. Joshua ana miaka 27, professionally amepigana mara 18 na hajawahi kushindwa na ameshinda mapambano yake yote 18 kwa knockout!. Klitchiko ana miaka 41 na wengi wanadhani pengine hili ndilo pambano lake la mwisho. Ameshapigana mara 68 na kushindwa mara 4. Ana knockouts 54!mkuu naomba kama hutojali nielezee kidogo hili pambano,
kwa hiyo mkuu ,werrason ndio zake nini hizo za kuvamia shughuli za watu huku kabeba ndizi kabisaCc werasson

Usijali Dada tuko pamojaNimekuona
Akikujibu nitagMbunye ndo nini?
Asante afandetuko poa mkuu