Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 178,275
- 1,077,680
Nimeshaonywa sana na QUIGLEY kuwa mabinti hawa wa Rwanda eti wana ubaguzi wa kutisha na mwanaume ukiwa siyo Mnyarwanda (Mtusi) mwenzao basi huna chako. Nyerere alikuwa hapendi ubaguzi na pengine aliona kuwa ngoma ni nzito akaamua kwenda hapo kisiwani...