Makapuku Forum

wadau kama kawaida leo ijumaa mida ya saa tatu na nusu ndio ile sherehe ya wapenda mpira mzuri, wenye kasi, kuona Passion ya mashabiki uwanjani na vipaji haswaa inaanza.

BAYER 04 LEVERKUSEN Vs SCHALKE 04
3f3656bb76638dd8cb1e0dbf971e15ca.jpg

Leverkusen bado hawana mwendelezo mzuri toka wamemfukuza kocha wao Roger Schmidt na kumpa timu kocha wa muda Tayfun korkut. Mara ya mwisho wakiwa nyumbani walidroo 0-0 wakiwa pungufu dhidi ya bayern munich, leo tena watawakaribisha vijana wa Markus Weinzierl.

wiki iliyopita leverkusen walifungwa 2-1 na timu ambayo imekua surplies package kwa msimu huu ukiachana na RB Leipzig, Freiburg. kichapo hicho inamaanisha katika mechi nane zilizopita kwenye mashindano yote imeshinda mechi moja tu, (D4, L3) na endapo ikishindwa leo basi itakua imejihakikishia kutoshiriki michuano yyte ya ulaya kwa mwakani.

Schalke 04 nao hawana matokeo mazuri kivileee, baada ya droo ya mechi iliyopita dhidi ya RB Leipzig inamaana kwamba wameenda mechi tisa bila kufungwa wakiwa nyumbani, (D5, L4), tatzo lao ni wabovu sana wakiwa ugenini, wamecheza mechi 14, wameshinda mbili tu, mbaya zaidi walifungwa na timu inayoshikilia mkia Darmstadt.

TEAM NEWS

Leverkusen wao wataendelea kumkosa kiungo wao Hakan Calhanoglu, Lars Bender, na Jonathan Tah nao ni hati hati, Good news kwao ni kwamba beki yao ya kati Jedvaj kishamaliza kifungo hivo kuna uwezekano atakuwepo.

Schalke 04: Breel Embolo, Maxim, Max Meyer, Leon Goretzka, Naldo na Abdul Rahman baba nao ni hati hati.
Nimekusoma vyema mzee wa Bundesliga
 
wadau kama kawaida leo ijumaa mida ya saa tatu na nusu ndio ile sherehe ya wapenda mpira mzuri, wenye kasi, kuona Passion ya mashabiki uwanjani na vipaji haswaa inaanza.

BAYER 04 LEVERKUSEN Vs SCHALKE 04
3f3656bb76638dd8cb1e0dbf971e15ca.jpg

Leverkusen bado hawana mwendelezo mzuri toka wamemfukuza kocha wao Roger Schmidt na kumpa timu kocha wa muda Tayfun korkut. Mara ya mwisho wakiwa nyumbani walidroo 0-0 wakiwa pungufu dhidi ya bayern munich, leo tena watawakaribisha vijana wa Markus Weinzierl.

wiki iliyopita leverkusen walifungwa 2-1 na timu ambayo imekua surplies package kwa msimu huu ukiachana na RB Leipzig, Freiburg. kichapo hicho inamaanisha katika mechi nane zilizopita kwenye mashindano yote imeshinda mechi moja tu, (D4, L3) na endapo ikishindwa leo basi itakua imejihakikishia kutoshiriki michuano yyte ya ulaya kwa mwakani.

Schalke 04 nao hawana matokeo mazuri kivileee, baada ya droo ya mechi iliyopita dhidi ya RB Leipzig inamaana kwamba wameenda mechi tisa bila kufungwa wakiwa nyumbani, (D5, L4), tatzo lao ni wabovu sana wakiwa ugenini, wamecheza mechi 14, wameshinda mbili tu, mbaya zaidi walifungwa na timu inayoshikilia mkia Darmstadt.

TEAM NEWS

Leverkusen wao wataendelea kumkosa kiungo wao Hakan Calhanoglu, Lars Bender, na Jonathan Tah nao ni hati hati, Good news kwao ni kwamba beki yao ya kati Jedvaj kishamaliza kifungo hivo kuna uwezekano atakuwepo.

Schalke 04: Breel Embolo, Maxim, Max Meyer, Leon Goretzka, Naldo na Abdul Rahman baba nao ni hati hati.
Asante bvb kwa ratiba na tips za Bundesliga
 
Mimi na mpira hatupatani kabisa. Mimi ni masumbwi na Mixed Martial Arts (MMA). Nasubiri kesho kati ya Vladimir Klitchiko na Joshua Wembley stadium. Watu 90,000 wanategemewa kuhudhuria. I wish I were in the UK. Nisingekosa!
4e4caa9c49c744ecff5e8a8a7beb3fca.jpg
5016ff5a6aaf8bdd602ccf58e780b5a7.jpg
mkuu mi sio mfuatiliaji wa hizi mambo, ila nimeona tu ina trend sana kwenye social network, mi zangu ni football, formular one, na basketball, ila kwenye huo mchezo ambao hauna hata sub walaaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom