Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,364
- 35,006
Safi mutu ya kongoPowa, za kwako???
Safi mutu ya kongoPowa, za kwako???
mzima kaka akee za wwmzima dadake na mimi
Mi mzima dadangu leo nilikuwa mpenzi msomajiMndali za ww
Khaaa mukongo ata ww unaongea hivyo kweli mushenga
Nimekusoma vyema mzee wa Bundesligawadau kama kawaida leo ijumaa mida ya saa tatu na nusu ndio ile sherehe ya wapenda mpira mzuri, wenye kasi, kuona Passion ya mashabiki uwanjani na vipaji haswaa inaanza.
BAYER 04 LEVERKUSEN Vs SCHALKE 04
Leverkusen bado hawana mwendelezo mzuri toka wamemfukuza kocha wao Roger Schmidt na kumpa timu kocha wa muda Tayfun korkut. Mara ya mwisho wakiwa nyumbani walidroo 0-0 wakiwa pungufu dhidi ya bayern munich, leo tena watawakaribisha vijana wa Markus Weinzierl.
wiki iliyopita leverkusen walifungwa 2-1 na timu ambayo imekua surplies package kwa msimu huu ukiachana na RB Leipzig, Freiburg. kichapo hicho inamaanisha katika mechi nane zilizopita kwenye mashindano yote imeshinda mechi moja tu, (D4, L3) na endapo ikishindwa leo basi itakua imejihakikishia kutoshiriki michuano yyte ya ulaya kwa mwakani.
Schalke 04 nao hawana matokeo mazuri kivileee, baada ya droo ya mechi iliyopita dhidi ya RB Leipzig inamaana kwamba wameenda mechi tisa bila kufungwa wakiwa nyumbani, (D5, L4), tatzo lao ni wabovu sana wakiwa ugenini, wamecheza mechi 14, wameshinda mbili tu, mbaya zaidi walifungwa na timu inayoshikilia mkia Darmstadt.
TEAM NEWS
Leverkusen wao wataendelea kumkosa kiungo wao Hakan Calhanoglu, Lars Bender, na Jonathan Tah nao ni hati hati, Good news kwao ni kwamba beki yao ya kati Jedvaj kishamaliza kifungo hivo kuna uwezekano atakuwepo.
Schalke 04: Breel Embolo, Maxim, Max Meyer, Leon Goretzka, Naldo na Abdul Rahman baba nao ni hati hati.
oooh hapo sawaHahaha..,najua
Asante bvb kwa ratiba na tips za Bundesligawadau kama kawaida leo ijumaa mida ya saa tatu na nusu ndio ile sherehe ya wapenda mpira mzuri, wenye kasi, kuona Passion ya mashabiki uwanjani na vipaji haswaa inaanza.
BAYER 04 LEVERKUSEN Vs SCHALKE 04
Leverkusen bado hawana mwendelezo mzuri toka wamemfukuza kocha wao Roger Schmidt na kumpa timu kocha wa muda Tayfun korkut. Mara ya mwisho wakiwa nyumbani walidroo 0-0 wakiwa pungufu dhidi ya bayern munich, leo tena watawakaribisha vijana wa Markus Weinzierl.
wiki iliyopita leverkusen walifungwa 2-1 na timu ambayo imekua surplies package kwa msimu huu ukiachana na RB Leipzig, Freiburg. kichapo hicho inamaanisha katika mechi nane zilizopita kwenye mashindano yote imeshinda mechi moja tu, (D4, L3) na endapo ikishindwa leo basi itakua imejihakikishia kutoshiriki michuano yyte ya ulaya kwa mwakani.
Schalke 04 nao hawana matokeo mazuri kivileee, baada ya droo ya mechi iliyopita dhidi ya RB Leipzig inamaana kwamba wameenda mechi tisa bila kufungwa wakiwa nyumbani, (D5, L4), tatzo lao ni wabovu sana wakiwa ugenini, wamecheza mechi 14, wameshinda mbili tu, mbaya zaidi walifungwa na timu inayoshikilia mkia Darmstadt.
TEAM NEWS
Leverkusen wao wataendelea kumkosa kiungo wao Hakan Calhanoglu, Lars Bender, na Jonathan Tah nao ni hati hati, Good news kwao ni kwamba beki yao ya kati Jedvaj kishamaliza kifungo hivo kuna uwezekano atakuwepo.
Schalke 04: Breel Embolo, Maxim, Max Meyer, Leon Goretzka, Naldo na Abdul Rahman baba nao ni hati hati.
jamaan au niwatumie screenshot za whatsaapMbwembwe tu hizo wakiwa public. Huko ndani si ajabu hawasemeshani. Hata Hamorapa analijua hili
Mitaa ya mwanjelwaHuku kwema mkuu ila nimejificha kwa jirani hapa mbeya kwa sasa
Shunie unauliza majibu? Mwanamke mrembo hivyo unamuuliza mwanaume rijali eti ana hamu na nini? Wakati hicho unachomuuliza kuwa ana hamu nacho wanasayansi wanasema anatakiwa kuwa anakiwaza kila baada ya sekunde 7? Usitie watu majaribuni please
Nzuri mkuu, dar mvua sanaNiko poa mkuu habari ya kupambana na maisha
Mi Niko poa dadamzima kaka akee za ww
Hapn mkuuMitaa ya mwanjelwa
Hongera japo hamlimi ila tumshukuru mungu kwa yoteNzuri mkuu, dar mvua sana
mkuu mi sio mfuatiliaji wa hizi mambo, ila nimeona tu ina trend sana kwenye social network, mi zangu ni football, formular one, na basketball, ila kwenye huo mchezo ambao hauna hata sub walaaa.Mimi na mpira hatupatani kabisa. Mimi ni masumbwi na Mixed Martial Arts (MMA). Nasubiri kesho kati ya Vladimir Klitchiko na Joshua Wembley stadium. Watu 90,000 wanategemewa kuhudhuria. I wish I were in the UK. Nisingekosa!
Inasababisha usumbufu wa kutopatikana pesaHongera japo hamlimi ila tumshukuru mungu kwa yote
Hebu njoo huku tuunganishe mbunye sio unakimbiakimbiaJamani dar kuzuri mh!
Kuna emoji hata huwa sijui zinawakilisha nini. Ile ya kucheka na ya kulia najua zinawakilisha furaha na huzuni. Hizi zingine huwa napotezea tu!
Asante bitoz kwa record za harusi
Pamoja sana wakuusantee kwa top 10 barikiwa