Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,992
- 31,694
..........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..........
mzima dadake na mimiKhaaaa shemela jaman ujue hii jf
Lakini hawapendani kama lee empire na Shunie1/Chelsea Clinton & MarcMezvinskyChelsea ndo mtoto wa pekee wa Bill na Hillary Clinton
Mwaliko ulikuwa ukitolewa na ikulu
Ilihudhuriwa na watu mashuri tupu
Katika harusi yake viyoyozi pekee viligharimu USD 600,000
Ulinzi pekee uligharimu USD 200,000
Huku kipande kimoja pekee cha keki nikiwa ni USD 150
Tukutane J3
Mwisho
..........
Hahaha..,najuaMmh usiniambie upo serious jaman humu kila kitu ni utani
Kama uko sawa na hauko depressed, hiyo hamu kuna mahali utakuwa umeihamishia. Wajua ilipoenda?Sijui, nimepoteza hamu na movie kabisa
Mndali vipmzima dadake na mimi
Mushenga kwenye ubora wake
Sisi tu wazima kabisa, vp songwe hukoWazima humu ndani
Mbwembwe tu hizo wakiwa public. Huko ndani si ajabu hawasemeshani. Hata Hamorapa analijua hili
Shunie unauliza majibu? Mwanamke mrembo hivyo unamuuliza mwanaume rijali eti ana hamu na nini? Wakati hicho unachomuuliza kuwa ana hamu nacho wanasayansi wanasema anatakiwa kuwa anakiwaza kila baada ya sekunde 7? Usitie watu majaribuni pleasewe una hamu na nn mukongo
Huku kwema mkuu ila nimejificha kwa jirani hapa mbeya kwa sasaSisi tu wazima kabisa, vp songwe huko
Huyo ni ww kumbeHaina shida mkuu ndio maana natumia my real name na pia nimetumia picha yangu halisi.
Mimi na mpira hatupatani kabisa. Mimi ni masumbwi na Mixed Martial Arts (MMA). Nasubiri kesho kati ya Vladimir Klitchiko na Joshua Wembley stadium. Watu 90,000 wanategemewa kuhudhuria. I wish I were in the UK. Nisingekosa!wadau kama kawaida leo ijumaa mida ya saa tatu na nusu ndio ile sherehe ya wapenda mpira mzuri, wenye kasi, kuona Passion ya mashabiki uwanjani na vipaji haswaa inaanza.
BAYER 04 LEVERKUSEN Vs SCHALKE 04
Leverkusen bado hawana mwendelezo mzuri toka wamemfukuza kocha wao Roger Schmidt na kumpa timu kocha wa muda Tayfun korkut. Mara ya mwisho wakiwa nyumbani walidroo 0-0 wakiwa pungufu dhidi ya bayern munich, leo tena watawakaribisha vijana wa Markus Weinzierl.
wiki iliyopita leverkusen walifungwa 2-1 na timu ambayo imekua surplies package kwa msimu huu ukiachana na RB Leipzig, Freiburg. kichapo hicho inamaanisha katika mechi nane zilizopita kwenye mashindano yote imeshinda mechi moja tu, (D4, L3) na endapo ikishindwa leo basi itakua imejihakikishia kutoshiriki michuano yyte ya ulaya kwa mwakani.
Schalke 04 nao hawana matokeo mazuri kivileee, baada ya droo ya mechi iliyopita dhidi ya RB Leipzig inamaana kwamba wameenda mechi tisa bila kufungwa wakiwa nyumbani, (D5, L4), tatzo lao ni wabovu sana wakiwa ugenini, wamecheza mechi 14, wameshinda mbili tu, mbaya zaidi walifungwa na timu inayoshikilia mkia Darmstadt.
TEAM NEWS
Leverkusen wao wataendelea kumkosa kiungo wao Hakan Calhanoglu, Lars Bender, na Jonathan Tah nao ni hati hati, Good news kwao ni kwamba beki yao ya kati Jedvaj kishamaliza kifungo hivo kuna uwezekano atakuwepo.
Schalke 04: Breel Embolo, Maxim, Max Meyer, Leon Goretzka, Naldo na Abdul Rahman baba nao ni hati hati.
Niko poa mkuu habari ya kupambana na maishaMndali vip
napenda sura za wahindi wa kikeUnapenda sura zao?
Michael Jackson na Elizabeth Taylor walikuwa wana mahusiano gani jamani?8/Liza Minelli & David BestIlifungwa mwaka 2002. Walihudhuria wageni 850 huku wakihudumiwa na wahudumu 500
Ilihudhuriwa na watu mashuhuri kibao wakiwemo Michael Jackson na Elizabeth Taylor
.......
Mndali za ww