Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nyuzi Time!

Wakati mwingine tena tusikize nyuzi za gitaa kama zinavyokuwa zinasikika katika muziki mtamu tunaoupenda, na hata kama hatuupendi, nakukaribisha kusikiza gitaa tu.

Leo tumwangalia Bill Withers, huyu ninaweza kumwandika kila wiki na wala usichoke kusoma au kusikiliza nyimbo zake. Ni mwanamuziki, mwandishi wa nyimbo, mpigaji wa gitaa na muongozaji wa muziki.

Sawa, anaweza kuwa mpya kwako kwa jina, lakini nina uhakika kuna nyimbo za kina Michael Bolton, Mary Blige, Will Smith, Akon, DMX na wanamuziki wengine zaidi ya 250 duniani ambao wamerudia kuimba nyimbo zake. Unashangaa, ndiyo, hadi Michael Jackson kaimba nyimbo za gwiji Bill Withers. Clinton na Obama walijaribu kuimba pia (hawakurekodi -usijenitoa macho na source blah blah)

Mshindi wa tuzo kibao za Grammy, kuanzia wimbo Ain't No Sunshine (1971), Just The Two of Us (1981), Lean On Me (1987).

Ana nyimbo nyingi nzuri na bado nukuu yake ' Unapoiangalia dunia na masuala yanayoendela kwa kutumia kioo, hutakuwa timamu, utajiona mwenyewe na vichache vilivyo nyuma yako. Fungua dirisha uweze kuona mengi, tizama.

Niko huku niliposema nitakuwa leo furahiday, nagonga moja moja huku namsikiza gwiji wa kukopi nyimbo za zamani (sio Zahiri Zoro baba wa Banana Zoro - huyu utampenda akiziimba nyimbo hizi na gitaa lake la nyuzi sita), na bila hiana nikaomba wimbo huu naouweka hapa kama nilivyoutoa katika clip ya YouTube.

Burudika.



Ninaamini mjombaangu lee empire (hivi anajua kama nina saa, wiki ya pili sasa!?)anauimba wimbo huu kwa ajili ya Shunie

Asante mkuu obe kwa sauti murua kabisa
 
e1701ca6eb90c458178ecb3bf67b8a80.jpg

May 14
Spurs v Man Utd
Itakuwa ndio mechi ya mwisho kuchezwa White Hart Lane
Nsimu wa 2017/18 Spurs wataanza kutumia uwanja mwingine....kwahiyo United tukomae tuuage uwanja wao kikauzu
.........
Harry Kane
 
AJ atakasambaratisha haka kazee round za mwanzoni kabisa
Hizi ni ndondi mkuu na siyo kandanda, basketball au golf. All it takes is one good punch and lights out...and the bigger they're the harder they fall. Klitchiko ana tabia ya kuchoka mapema na Joshua akiwa mvumilivu na mwangalifu wakavuka raundi ya 4 au tano hivi basi anaweza kumtandika. Lakini akipaparika halafu ashindwe kummaliza, Klitchiko anajulikana kwa konde la kulia ambalo hata likikukosa mvumo wake tu unaweza kukupeperusha.

Klitchiko akidundwa nitafurahi. Joshua bado kijana, ana bashasha na ataweza kuifufua heavyweight division...
 
Nyuzi Time!

Wakati mwingine tena tusikize nyuzi za gitaa kama zinavyokuwa zinasikika katika muziki mtamu tunaoupenda, na hata kama hatuupendi, nakukaribisha kusikiza gitaa tu.

Leo tumwangalia Bill Withers, huyu ninaweza kumwandika kila wiki na wala usichoke kusoma au kusikiliza nyimbo zake. Ni mwanamuziki, mwandishi wa nyimbo, mpigaji wa gitaa na muongozaji wa muziki.

Sawa, anaweza kuwa mpya kwako kwa jina, lakini nina uhakika kuna nyimbo za kina Michael Bolton, Mary Blige, Will Smith, Akon, DMX na wanamuziki wengine zaidi ya 250 duniani ambao wamerudia kuimba nyimbo zake. Unashangaa, ndiyo, hadi Michael Jackson kaimba nyimbo za gwiji Bill Withers. Clinton na Obama walijaribu kuimba pia (hawakurekodi -usijenitoa macho na source blah blah)

Mshindi wa tuzo kibao za Grammy, kuanzia wimbo Ain't No Sunshine (1971), Just The Two of Us (1981), Lean On Me (1987).

Ana nyimbo nyingi nzuri na bado nukuu yake ' Unapoiangalia dunia na masuala yanayoendela kwa kutumia kioo, hutakuwa timamu, utajiona mwenyewe na vichache vilivyo nyuma yako. Fungua dirisha uweze kuona mengi, tizama.

Niko huku niliposema nitakuwa leo furahiday, nagonga moja moja huku namsikiza gwiji wa kukopi nyimbo za zamani (sio Zahiri Zoro baba wa Banana Zoro - huyu utampenda akiziimba nyimbo hizi na gitaa lake la nyuzi sita), na bila hiana nikaomba wimbo huu naouweka hapa kama nilivyoutoa katika clip ya YouTube.

Burudika.



Ninaamini mjombaangu lee empire (hivi anajua kama nina saa, wiki ya pili sasa!?)anauimba wimbo huu kwa ajili ya Shunie

Binamu asante sana hahahha uliongea habari za saa yako ujue unanifurahisha sana
 
Binamu asante sana hahahha uliongea habari za saa yako ujue unanifurahisha sana


Ha hahahahah, ukifurahi nami nafurahia. Seriously, ninapoandika kuhusu saa yangu si kwamba nina makidai, wala nawaringishia Makapuku ( najua wengi wana saa) la, ni kitu cha kujivunia kuwa na saa.

Hebu sikiza nyimbo hizo nilizotaja na kuimbwa Bill mwenyewe sio waliozirudia

Ndo maendeleo, nimeanza na saa. Nikitaka simu ya tachi nitawashirikisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom