Werrason
JF-Expert Member
- Nov 5, 2014
- 13,224
- 39,937
Kuku mgeni.....Cc werasson
Kuku mgeni.....Cc werasson
Mchungaji ni nani?Mkuu mi nakuona umechukua nafasi ya uchungaji
Nyuzi Time!
Wakati mwingine tena tusikize nyuzi za gitaa kama zinavyokuwa zinasikika katika muziki mtamu tunaoupenda, na hata kama hatuupendi, nakukaribisha kusikiza gitaa tu.
Leo tumwangalia Bill Withers, huyu ninaweza kumwandika kila wiki na wala usichoke kusoma au kusikiliza nyimbo zake. Ni mwanamuziki, mwandishi wa nyimbo, mpigaji wa gitaa na muongozaji wa muziki.
Sawa, anaweza kuwa mpya kwako kwa jina, lakini nina uhakika kuna nyimbo za kina Michael Bolton, Mary Blige, Will Smith, Akon, DMX na wanamuziki wengine zaidi ya 250 duniani ambao wamerudia kuimba nyimbo zake. Unashangaa, ndiyo, hadi Michael Jackson kaimba nyimbo za gwiji Bill Withers. Clinton na Obama walijaribu kuimba pia (hawakurekodi -usijenitoa macho na source blah blah)
Mshindi wa tuzo kibao za Grammy, kuanzia wimbo Ain't No Sunshine (1971), Just The Two of Us (1981), Lean On Me (1987).
Ana nyimbo nyingi nzuri na bado nukuu yake ' Unapoiangalia dunia na masuala yanayoendela kwa kutumia kioo, hutakuwa timamu, utajiona mwenyewe na vichache vilivyo nyuma yako. Fungua dirisha uweze kuona mengi, tizama.
Niko huku niliposema nitakuwa leo furahiday, nagonga moja moja huku namsikiza gwiji wa kukopi nyimbo za zamani (sio Zahiri Zoro baba wa Banana Zoro - huyu utampenda akiziimba nyimbo hizi na gitaa lake la nyuzi sita), na bila hiana nikaomba wimbo huu naouweka hapa kama nilivyoutoa katika clip ya YouTube.
Burudika.
Ninaamini mjombaangu lee empire (hivi anajua kama nina saa, wiki ya pili sasa!?)anauimba wimbo huu kwa ajili ya Shunie
Harry Kane![]()
May 14
Spurs v Man Utd
Itakuwa ndio mechi ya mwisho kuchezwa White Hart Lane
Nsimu wa 2017/18 Spurs wataanza kutumia uwanja mwingine....kwahiyo United tukomae tuuage uwanja wao kikauzu
.........
Hizi ni ndondi mkuu na siyo kandanda, basketball au golf. All it takes is one good punch and lights out...and the bigger they're the harder they fall. Klitchiko ana tabia ya kuchoka mapema na Joshua akiwa mvumilivu na mwangalifu wakavuka raundi ya 4 au tano hivi basi anaweza kumtandika. Lakini akipaparika halafu ashindwe kummaliza, Klitchiko anajulikana kwa konde la kulia ambalo hata likikukosa mvumo wake tu unaweza kukupeperusha.AJ atakasambaratisha haka kazee round za mwanzoni kabisa![]()
![]()
![]()
![]()
Chaplin za mudaHili swali atajibu
SHIMBA YA BUYENZE
Nimeshajibu mkuu. Pengine Nyerere aliogopa ubaguzi wa Wanyarwanda. Quigley ameshanionya mara nyingi kuhusu hawa mabinti wa Kinyarwanda na ubaguzi wao usiotetereka!Hili swali atajibu
SHIMBA YA BUYENZE
Sawa mkuuItakuwa Sudan aisee
Ni mtu anae kusanya mifugo yake na kuilinda ili iwe salamaMchungaji ni nani?
Anhaa sawa mkuuNimeshajibu mkuu. Nyerere aliogopa ubaguzi wa Wanyarwanda. Quigley ameshanionya mara nyingi kuhusu hawa mabinti wa Kinyarwanda na ubaguzi wao usiotetereka!
Hilo sitaligusia mkuu. Nisije nikaishia kuwa njia ya mtu kwenda kufaudu mabikra 72 akhera milele na mileleAnhaa sawa mkuu
Lakini hata Unguja pia upo ubaguzi na unyanyasaji wa kiimani



Nzuri, leo ulikuwa tyte sanaSalama tu mkuu
Habari ya siku
ahhahahAkikujibu nitag
Nyuzi Time!
Wakati mwingine tena tusikize nyuzi za gitaa kama zinavyokuwa zinasikika katika muziki mtamu tunaoupenda, na hata kama hatuupendi, nakukaribisha kusikiza gitaa tu.
Leo tumwangalia Bill Withers, huyu ninaweza kumwandika kila wiki na wala usichoke kusoma au kusikiliza nyimbo zake. Ni mwanamuziki, mwandishi wa nyimbo, mpigaji wa gitaa na muongozaji wa muziki.
Sawa, anaweza kuwa mpya kwako kwa jina, lakini nina uhakika kuna nyimbo za kina Michael Bolton, Mary Blige, Will Smith, Akon, DMX na wanamuziki wengine zaidi ya 250 duniani ambao wamerudia kuimba nyimbo zake. Unashangaa, ndiyo, hadi Michael Jackson kaimba nyimbo za gwiji Bill Withers. Clinton na Obama walijaribu kuimba pia (hawakurekodi -usijenitoa macho na source blah blah)
Mshindi wa tuzo kibao za Grammy, kuanzia wimbo Ain't No Sunshine (1971), Just The Two of Us (1981), Lean On Me (1987).
Ana nyimbo nyingi nzuri na bado nukuu yake ' Unapoiangalia dunia na masuala yanayoendela kwa kutumia kioo, hutakuwa timamu, utajiona mwenyewe na vichache vilivyo nyuma yako. Fungua dirisha uweze kuona mengi, tizama.
Niko huku niliposema nitakuwa leo furahiday, nagonga moja moja huku namsikiza gwiji wa kukopi nyimbo za zamani (sio Zahiri Zoro baba wa Banana Zoro - huyu utampenda akiziimba nyimbo hizi na gitaa lake la nyuzi sita), na bila hiana nikaomba wimbo huu naouweka hapa kama nilivyoutoa katika clip ya YouTube.
Burudika.
Ninaamini mjombaangu lee empire (hivi anajua kama nina saa, wiki ya pili sasa!?)anauimba wimbo huu kwa ajili ya Shunie
Meseji ya Lee kwenda kwa Shunie imevuja. Shedede upo? Baba mwenye nyumba yuaja huyo. Funga virago uhamie kwenye banda la walinzi immediately!![]()

Mchungaji ni mukongoMchungaji ni nani?
Binamu asante sana hahahha uliongea habari za saa yako ujue unanifurahisha sana