Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,402
Kwa nini?Ninayo na sijawahi kuiangalia.....nina kama miaka miwili sijaangalia movie.....nikiweka dk. 10 nazima![]()
Kwa nini?Ninayo na sijawahi kuiangalia.....nina kama miaka miwili sijaangalia movie.....nikiweka dk. 10 nazima![]()
Hapana mukubwa. Tunaboresheana CV. Huoni Mshana Jr alivyo mashuhuri hapa JF?tunachafuliana C.V mukubwa???
Hapana mukubwa. Tunaboresheana CV. Huoni Mshana Jr alivyo mashuhuri hapa JF?
Kama sikosei nilisoma hapa hapa JF kuhusu uchawi wa wanamuziki wa Kongo na Werrason alitajwa kama hatari zaidi na kwamba eti anaogopwa sana...
AiseeNajuta kujipendekeza
Jibu la mukongo jehahahhh mm ni kibonge ila nilitaka tu nione na jibu la lee
Eti!!'kibumbu!!!![]()
![]()
![]()
Mukongo ni mshenga ujueUlikizidiwa nenda kwa mkongo ukaombewe
Labda anachukulia mazoezi kwakohahahh mukongo kaanza lini kuombea
KiwatenganisheNi kweli mukongo kwa shida na rahaa mpk kifo
Mkuu obe niajeUna nini na BlessedHope ? Ina maana usipokuwa safarini basi mnakuwa pamoja?
Leo ni furahiday hebu tusitafutiane️ attack bila sababu,
Sasa amekuelewaHapana mukubwa. Tunaboresheana CV. Huoni Mshana Jr alivyo mashuhuri hapa JF?
Kama sikosei nilisoma hapa hapa JF kuhusu uchawi wa wanamuziki wa Kongo na Werrason alitajwa kama hatari zaidi na kwamba eti anaogopwa sana...