Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakati wa kula sugari guru si huwa mnakumbatiana?

Sasa kama mwanaume anajua kutembeza mguu wake vizuri lazima mwanamke aajitie kama anamkuna mgongoni..

Sasa kama mwanamke ana mikucha kama hzo hapo chini
d3d880d4bffc6e9c491eb5f4ba4817e5.jpg



Si lazima uttamparua mtuu...

Pungezeni huu urembo wenu sasa
Mh mwanamke hutakiwi kuwa na mikucha mirefu hivyo basi tu hawajui
 
The Good, The Bad and The Ugly. Ipo katika maktaba yangu na ndiyo nimemaliza kuiangalia - The Best Western (Cowboys) movie ever. Na kwa kiasi fulani inaakisi hali halisi maishani na watu wanaotuzunguka mpaka hata viongozi wetu, na mengineyo. Some are good! Others are Bad...and some of them are just Ugly!!!
a9a10081d3dbea6c1efd15d98172420d.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom