Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
kweli mukongo
kweli mukongo
I'm here.mekumiss baba mchuchu wetu
Mh mwanamke hutakiwi kuwa na mikucha mirefu hivyo basi tu hawajuiWakati wa kula sugari guru si huwa mnakumbatiana?
Sasa kama mwanaume anajua kutembeza mguu wake vizuri lazima mwanamke aajitie kama anamkuna mgongoni..
Sasa kama mwanamke ana mikucha kama hzo hapo chini![]()
Si lazima uttamparua mtuu...
Pungezeni huu urembo wenu sasa
hehehehehahahha
Eti!!! akati wewe ni mtu mzimanaanzaje kuleft mukongo

Unajuaje kuwa ni mwanamke?Mh mwanamke hutakiwi kuwa na mikucha mirefu hivyo basi tu hawajui
Naweka...naanzaje kuleft mukongo
basi mwanaumeUnajuaje kuwa ni mwanamke?
hahahhaEti!!! akati wewe ni mtu mzima![]()
wekaaaNaweka...
Ulikizidiwa nenda kwa mkongo ukaombeweJamaan mjue lee wangu hayupohizi story mnaniweka pabaya ndio mana napotezea
nawe wakiogopa???kweli mukongo
hahahh mukongo kaanza lini kuombeaUlikizidiwa nenda kwa mkongo ukaombewe
mm sikiogopi mukongo ila nasemea tu kwa niabanawe wakiogopa???
Alisema.....atakuwa nae kwa shida na raha.....kwanza nipo safarini , ataombewa na Mama MchungajiUlikizidiwa nenda kwa mkongo ukaombewe

Hata mimi nashangaa. Ninavyojua Werrason anatisha kwa uchawi mpaka wanamuziki wengine huki Kongo wanamgwaya. Kama ameamua kuchanganya na maombi basi ni hatari juu ya denja!hahahh mukongo kaanza lini kuombea


