Makapuku Forum

Makapuku Forum

List ya nchi 5 zilizotumia fedha nyingi kwa ajili ya majeshi 2016
China-Parade.jpg

Inaelezwa kuwa sifa ya nchi yoyote ni uwezo wa Jeshi lake katika kujilinda na kupambana kwa ajili ya wananchi ambapo tumekuwa tukishuhudia gharama inayotumika kuhakikisha Idara hiyo inaimarika kwa kulipa mishahara minono na kununua vifaa vya kisasa.

Kwa mujibu wa Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm ‘SIPRI’ zimetajwa nchi 5 zinazotumia fedha nyingi zaidi kwa ajili ya Jeshi hadi kufikia 2016 zikiongozwa na Marekani.

SIPRI imesema kuwa matumizi ya dunia katika majeshi yaliongezeka hadi Dollar 1.7 trillion mwaka 2016 ambapo Marekani inasalia kinara kwa kutumia fedha nyingi kwenye jeshi mwaka 2016 ambapo matumizi yameongezeka kwa 1.7% kuifanya ifikishe Dollar 611 billion.

China ilitumia Dollar 215 billion na kuifanya kukamata katika nafasi ya pili huku Urusi ikikamata nafasi ya tatu ikitumia Dollar 69.2 billion. Saudi Arabia inakamata nafasi ya nne ikitumia Dollar 63.7 billion na India katika nafasi ya tano ikitumia Dollar 55.9 billion.

Capture-13.png
Binadamu amekazana kujirundikia haya masilaha wakati kasayari kenyewe haka haka kamoja. Akikanyuka na kukafanya kasikalike tena sijui atakimbilia wapi. Sayari ya karibu inayoaminika pengine ku-support uhai iko umbali wa 110 light years na kwenda huko kwa teknolojia ya sasa haiwezekani. Ujinga mtupu!
 
Kotekote kutakuwa na madhara, kwa mama na baba wa mtoto mtarajiwa
To Tz haiwezekani...

Naamini inawezekana kwa nchi zenye Data base za kila raia wake kitu ambacho pia ni kigumu kuwa na data ambazo eti mimba inajulikana ni ya nani...

Lazima uwe na biological data za mtu husika hasa:

-Blood Group na DNA

sasa ni kweli kila mtoto akizaliwa huwa anachukuliwa hizo biological data?
 
To Tz haiwezekani...

Naamini inawezekana kwa nchi zenye Data base za kila raia wake kitu ambacho pia ni kigumu kuwa na data ambazo eti mimba inajulikana ni ya nani...

Lazima uwe na biological data za mtu husika hasa:

-Blood Group na DNA

sasa ni kweli kila mtoto akizaliwa huwa anachukuliwa hizo biological data?
kwakweli na isiwezekane watu watauana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom