Makapuku Forum

Makapuku Forum

77767ef6def2ca3f02c464e237561a53.jpg
Sura yake tu imekaa kijanjajanja na kitapelitapeli kwanini Mwalimu asiwe na mashaka
c74907bddc3ebde051a4d80fa51a0cb7.jpg
Hapa wakati akiwa Waziri Wa Mambo ya Nje
9981e54743d8bec27b43ccd91332ec1f.jpg
Hapa Nyerere akiwa na bibi Titi Mohammed

Mkuu ni hulka ya binadamu kumuonea wivu anayemzidi kiuwezo au hata kielimu na mvuto
Hili andiko lako kuntu sana nimelisave
Shukrani
......
Karibuni nitaanza kutumia avatar ya Oscar Kambona
 
10/Malaria
210b4c44e68021eb5ddeda43623af06f.jpg

Huu ugonjwa huenezwa na mbu jike airways Anopheles
Unashambulia zaidi bara la Afrika kutokana na hali ya kijiografia
Mnakumbuka serikali ilianzisha kampeni ya kugawa vyandarua vya dawa....mwenzenu niliishia kuvulia kambale tu maana hakienei kitandani
Husababisha vifo takribani Milioni 1 kila mwaka
.......
Nilifugia kuku mwenzako
 
naivuta taswila ya usemi wako bora nijilinde mwenyewe
naona hapo kunatatizo dr.lee anaakili sana angeweza angekwambia ujilinde mwenyewe
yeye kama doctor alijua kabisa vishawishi ni vingi sana ndo mana kaniambia nikulinde mimi na kwanini hakumwambia nyagei,mondray

hivo alijua iyo kazi haiwezi nishinda worryout shemela


Asingeweza kumpa kazi mtunza fedha
 
2/Kiharusi
798c612b1a0645caf0fe710ccf511384.jpg

Kitaalamu unaitwa Stroke kwa Lugha rahisi ni kupooza
Ikumbukwe ili ubongo iweze kufanya kazi unahitaji hewa ambayo husafirishwa kupitia kwenye damu hivyo chakula cha ubongo ni damu sasa kiharusi hutokea pale damu inapofeli kufika ubongoni au kufika chini ya kiwango kwa sababu mbalimbali mfano mishipa kupasuka, shinikizo la juu ladamu n.k
Mgonjwa wa kiharusi sio tu hupooza mwili bali pia akili
Huua watu 6.1 Milioni kwa mwaka
.......
.........
 
5/Vifo vitokanavyo na uzazi
14484ef0effe186a0a0d50aa9a036c88.jpg

Kuna usemi kwamba ujauzito ni nusu ugonjwa
Vifo vinavyoongelewa ni vya mama wajawazito pamoja na vya watoto wachanga wakati wa kujifungua
Huathiri zaidi nchi maskini kutokana huduma mbovu za afya
Kina mama nusu Milioni na watoto zaidi ya 2.5 Milioni hufariki
Jumla ni vifo 3+ Milioni
......
Tushukuru sisi tulikuja tukiwa salama salimini
 
1/Ugonjwa wa Moto
b378472f83def2fdc74aa99004b9185c.jpg

Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababisha na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua Yusuf Manji
Huua watu milioni 7.2 kwa mwaka

Tukutane kesho
Mwisho
.......

 
2/Kiharusi
798c612b1a0645caf0fe710ccf511384.jpg

Kitaalamu unaitwa Stroke kwa Lugha rahisi ni kupooza
Ikumbukwe ili ubongo iweze kufanya kazi unahitaji hewa ambayo husafirishwa kupitia kwenye damu hivyo chakula cha ubongo ni damu sasa kiharusi hutokea pale damu inapofeli kufika ubongoni au kufika chini ya kiwango kwa sababu mbalimbali mfano mishipa kupasuka, shinikizo la juu ladamu n.k
Mgonjwa wa kiharusi sio tu hupooza mwili bali pia akili
Huua watu 6.1 Milioni kwa mwaka
.......
.........
Inaumiza sana
 
1/Ugonjwa wa Moyo
b378472f83def2fdc74aa99004b9185c.jpg

Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababisha na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua Yusuf Manji
Huua watu milioni 7.2 kwa mwaka

Tukutane kesho
Mwisho
.......


Shukrani mkuu
 
7/Ukimwi
91980670fcf88e416829633c389aa23f.jpg

Huu huenezwa zaidi kwa kujamiiana(hatachi ng'o}
Haina tiba bali una kings(kondomu)....Zamani mtu akiugua hili gonjwa ilikuwa ni rahisi kumjua ila siku hizi ARV zimewafanya watu wanenepe na kupunguza vifo vya mapema
Huua watu 1.8 Milioni kwa mwaka
.....
Ni ugonjwa gani unasababisha kuwa na ukimwi?
 
9/Kifua Kikuu
f425f37e59ab36d35f202df87d1beb01.jpg
Huu ugonjwa huenezwa na bacteria kwa njia ya hewa...huathiri zaidi mapafu lakini pia huweza kuenea hadi ktk vuingo zingine
Mgonjwa hupoteza uzito kwa kiwango kikubwa
Husababisha vifo 1.4 Milioni kwa mwaka
......
ebwana bitozi natoka kwenye topic kidogo...
kwenye iyo picha, madokta wa wapi hapo wanavaa kofia kama ma cheaf cooker?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom