Makapuku Forum

Makapuku Forum

1/Ugonjwa wa Moto
b378472f83def2fdc74aa99004b9185c.jpg

Huu ndo ugonjwa mbaya zaidi duniani..huweza husababisha na sababu mbalimbali km vile,.. kisukari, shinikizo la jyu la damu na uzito uliopitiliza
Kwa kugundua uzito wa tatizo hili serikali imeanzisha Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete pale Muhimbili
Ndio ugonjwa unaomsumbua Yusuf Manji
Huua watu milioni 7.2 kwa mwaka

Tukutane kesho
Mwisho
.......

Asante Bitoz ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom