Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
8/Saratani
Saratani kutokea pale seli zinaposhindwa kufanya kazi(kuf}..ikumbukwe viungo vyote kwenye mwili wa binadamu vimeumbwa kwa seli hivyo basi kila kiungo kina saratani yake
Wana wake hushambuliwa na saratani ya matiti na kizazi wakati wanaume ni tezi dume
Saratani husababishwa na sababu za kibaolojia. Uvutaji sigara n.k
Huu ndo ugonjwa uliowaua Nyerere,Balali,Sitta
Husababisha vifo 1.5 milioni kwa mwaka
# 9 nimeruka kimakosa naileta baada ya # 8
......
Saratani kutokea pale seli zinaposhindwa kufanya kazi(kuf}..ikumbukwe viungo vyote kwenye mwili wa binadamu vimeumbwa kwa seli hivyo basi kila kiungo kina saratani yake
Wana wake hushambuliwa na saratani ya matiti na kizazi wakati wanaume ni tezi dume
Saratani husababishwa na sababu za kibaolojia. Uvutaji sigara n.k
Huu ndo ugonjwa uliowaua Nyerere,Balali,Sitta
Husababisha vifo 1.5 milioni kwa mwaka
# 9 nimeruka kimakosa naileta baada ya # 8
......
