Makapuku Forum

Makapuku Forum

139a388c04c30d175f530fd62cb4c5bf.jpg
d5710a0cc2a5eaf70652b70aff6e3bb6.jpg
40d67735ce353ef459ad4dc72df9cd82.jpg

Endelezeni kupiga umbea halafu mnafungwa hadi na TOTO tena U/Taifa

..................
Baelezee hao mikia
 
Jimena nakubaliana na wewe ila sisi wanaume huwa tuna amini kwamba mwanamke yeyote anayeonyesha ugumu mwanzon wakati unamwa-approach huyu ndiye atakuja kukukubalia mwishoni so na amini jambilo hajapoteza track saaana wacha tutaona mwisho..
Tayari mkuu ila usiwaambie washkaji c wajua huyu jimena mkali wengi wamfukuzia!
 
Kumbe we hukuanzia mwanzo. Jambilo ni wa Patience123 haijalishi anajitoa ufahamu kiasi gani kwangu namuhesabu kama baba Mchungaji na mume halali wa patience123 sasa kilichounganishwa na Manuu mtu na asijajiribu kukitenganisha ndomana namsisitiza kuwa hawezi kufanikiwa
Tulikuwa wachumba jimena hata kuonjana hatuja..
 
Sasa kwani jambilo ni wa kwanza kutupia karata yake??? Waswahili wanasema maji yakija kasi yaache yapite.... Hivyo nae atafika mahali atakubali matokeo kuwa hatakiwi na atarudi kwa mama mchungaji
0K...Ila naona atleast yeye amekomaa kiaina ukilinganisha na waliopita...Wacha tuone maana tumeambia wanawake mmeumbiwa roho ya huruma so otokubali kuona mtoto wa mwenzako akuteseka kwa mda mrefu sababu yako..
 
0K...Ila naona atleast yeye amekomaa kiaina ukilinganisha na waliopita...Wacha tuone maana tumeambia wanawake mmeumbiwa roho ya huruma so otokubali kuona mtoto wa mwenzako akuteseka kwa mda mrefu sababu yako..
Atasubiri sanaaaaaaaaa!!!!
Usisahau na Sizzya007 nae bado anafukuzia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom