Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
Kuna kisa kinashangaza sana ndio maana nimeuliza hivyoSijafuatilia sana umbali ila mi nilipo inaweza kuwa km 100
Kuna kisa kinashangaza sana ndio maana nimeuliza hivyoSijafuatilia sana umbali ila mi nilipo inaweza kuwa km 100
Asante kwa leo katika historia bora kabisa mkuu musollinLeo Katika Historia:
Niwatakie jumapili njema.
30daysKwa hiyo bei umewafuga mda gani
Good morning ShululuAsante kwa leo katika historia bora kabisa mkuu musollin
ahahaha sawa apple loveSasa mie nimekumiss zaidi ya sana. Apa nilikua macho juu juu nikiangalia utatokea upande gani mwenzangu


Aisee, hongera sana kwa 2yrs ndani ya jf2015 - ID ya Mussolin5 inaanzishwa ndani ya JamiiForums.
Leo ni miaka miwili tangu nianze kutumia ID hii maridhawa mara baada ya hapo awali kula life ban kupitia ID ya awali.
Kwa msiofahamu, juyo jamaa mwenye Kofia na midevu kwenye avatar yangu anaitwa Camilo Cienfuego. Alikuwa ni mwanapinduzi wa Cuba alifariki kwa kupotea kwa ndege aliyopanda.
Namkubali sana, thats why huwa siwezi change avatar yangu.
Wanauzito gani na unao wengi30days
nani anamchukua huyo??Mke wa mtu anachukuliwa wewe uliyepewa kazi ya kumlinda ulikuwa wapi? Uliucharaza usingizi ama?
Kisa gani hicho mkuu?Kuna kisa kinashangaza sana ndio maana nimeuliza hivyo
ItakuwaUkoo wake unatokea Africa au maana ni black?
Sawa kiongozi kwa kawaida inatakiwa uwafuge kwa mda gani na uwauze kwa bei gani30days
kwema mkuuWa kuzugia ninaye mkuu sema tu nimeamua kukaa kimya. Kuwa ngangari kwani mpaji siyo Bashite na siku moja utafanikiwa tu! Ifanye kazi yako ya ulinzi vizuri kwa sababu you never know. Kwema lakini?
Kubwa sana![]()
![]()
![]()
Vitabu ni lishe ya ubongo
.....
wabunge wanaenda kunyamazishwa
ah wapi nani akalime ????Hata ukifukuzwa kazi potelea mbali kwa sababu bosi mwenye wivu yule wala sipati picha jinsi unavyoteseka japo unakula kwa macho. Achana na hiyo kazi twende tukalime nyanya katika vijito vya likijiji la maraha Koromije.

hili gazeti nalipenda
Mimi kofia yake tu anavyovaaWatu mna vituko
Ndio huunda team moja na hiyo alimvicha pete baada ya kucheza pamoja na kushinda
....
.