Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
2005 - Video ya kwanza yawekwa ndani ya mtandao wa Youtube. Video hiyo ilijulikana kama " Me at the zoo "
.....
2005 - Video ya kwanza yawekwa ndani ya mtandao wa Youtube. Video hiyo ilijulikana kama " Me at the zoo "
Asantee mama mchungajiiiiTAFUTA KUWA NA AMANI NA WATU WOTE
MITHALI 25
21 Adui yako akiwa ananjaa ,mpe chakula;Tena akiwa anakiu ,mpe maji ya kunywa.
22 Maana utatia makaa ya moto kichwani pake;Na Bwana atakupa thawabu.
Katika suala gumu maishani moja wapo ni hili la kuwapenda maadui zetu,Lakini ndivyo ilivyo hata kwa Bwana Yesu alisema wasamehe maana hawajui watendalo.
Mtu akikukosea Mwambie Bwana Teta nao wanaoteta nami........Zaburi 35 ..................... usiwe na hasira ya kudumu.
Katika somo hili unapompenda na kumtendea mema adui
Bwana atakupa thawabu.
Utakuwa umemsaidia yeye kubadilika pia
Ni adhabu tosha maana neno lasema utakuwa umewasha makaa ya moto kichwani mwake.
Wapendwa siyo kazi nyepesi ila kwa msaada wa Roho Mtakatifu inawezekana.
Tunakushukuru Baba kwa ulinzi wako na kutuamsha salama ,asante kwa yote unayotutendea asante kwa afya ,riziki ,marafiki na maadui tunaomba uendelee kutuimarisha tuweze kuwa na uvumilivu wa kuwapenda maadui na kuwaombea.
Siku ya leo ponya roho zetu,ponya majeraha,ponya wafiwa,wagonjwa ,wenye mahitaji..
Tufundishe kuchukuliana mizigo kwa upendo na kuwa sababu ya furaha kwa wengine na kuwasaidia watu kubadilika na kutenda kadri wanavyopenda kutendewa
Asante Baba kwa sababu utatupa kushinda kila siku za maisha yetu na kutujenga kuimarishana maana hakuna mkamilifu.
Jumapili ya leo ikawe ya baraka ushindi na kutubdilisha.
Kwa jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen
WAPENDWA JUMAPILI NJEMA![]()
Lugha ya Malkia inabidi uikubali tu maana sasa inahusika kila kona- Leo ni siku ya Umoja wa Mataifa ya kuhamasisha matumizi ya Lugha ya Kiingereza.
Kuna mtu hapa hataki kusafiri kwa kuwa lugha ya mkoloni sio rafiki kwake.
AmenTAFUTA KUWA NA AMANI NA WATU WOTE
MITHALI 25
21 Adui yako akiwa ananjaa ,mpe chakula;Tena akiwa anakiu ,mpe maji ya kunywa.
22 Maana utatia makaa ya moto kichwani pake;Na Bwana atakupa thawabu.
Katika suala gumu maishani moja wapo ni hili la kuwapenda maadui zetu,Lakini ndivyo ilivyo hata kwa Bwana Yesu alisema wasamehe maana hawajui watendalo.
Mtu akikukosea Mwambie Bwana Teta nao wanaoteta nami........Zaburi 35 ..................... usiwe na hasira ya kudumu.
Katika somo hili unapompenda na kumtendea mema adui
Bwana atakupa thawabu.
Utakuwa umemsaidia yeye kubadilika pia
Ni adhabu tosha maana neno lasema utakuwa umewasha makaa ya moto kichwani mwake.
Wapendwa siyo kazi nyepesi ila kwa msaada wa Roho Mtakatifu inawezekana.
Tunakushukuru Baba kwa ulinzi wako na kutuamsha salama ,asante kwa yote unayotutendea asante kwa afya ,riziki ,marafiki na maadui tunaomba uendelee kutuimarisha tuweze kuwa na uvumilivu wa kuwapenda maadui na kuwaombea.
Siku ya leo ponya roho zetu,ponya majeraha,ponya wafiwa,wagonjwa ,wenye mahitaji..
Tufundishe kuchukuliana mizigo kwa upendo na kuwa sababu ya furaha kwa wengine na kuwasaidia watu kubadilika na kutenda kadri wanavyopenda kutendewa
Asante Baba kwa sababu utatupa kushinda kila siku za maisha yetu na kutujenga kuimarishana maana hakuna mkamilifu.
Jumapili ya leo ikawe ya baraka ushindi na kutubdilisha.
Kwa jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen
WAPENDWA JUMAPILI NJEMA![]()
1977 - John Cena anazaliwa.
Mwanamieleka mashuhuri kutoka nchini Marekani.
Hongera kwa msimamo,ila hapo hiyo ndege haikuoneka tena?na hakuzikwa?natamani kufahamu zaidi..2015 - ID ya Mussolin5 inaanzishwa ndani ya JamiiForums.
Leo ni miaka miwili tangu nianze kutumia ID hii maridhawa mara baada ya hapo awali kula life ban kupitia ID ya awali.
Kwa msiofahamu, juyo jamaa mwenye Kofia na midevu kwenye avatar yangu anaitwa Camilo Cienfuego. Alikuwa ni mwanapinduzi wa Cuba alifariki kwa kupotea kwa ndege aliyopanda.
Namkubali sana, thats why huwa siwezi change avatar yangu.
RIP Camilo Cienfuego2015 - ID ya Mussolin5 inaanzishwa ndani ya JamiiForums.
Leo ni miaka miwili tangu nianze kutumia ID hii maridhawa mara baada ya hapo awali kula life ban kupitia ID ya awali.
Kwa msiofahamu, juyo jamaa mwenye Kofia na midevu kwenye avatar yangu anaitwa Camilo Cienfuego. Alikuwa ni mwanapinduzi wa Cuba alifariki kwa kupotea kwa ndege aliyopanda.
Namkubali sana, thats why huwa siwezi change avatar yangu.

Ilifanyiwa marekebisho kidogo mwaka 1990![]()
![]()
Hadi sasa haijafanyiwa amendment?
....
.
Amen.karibuNzuri, Asante nawe pia uwe na jumapili yenye baraka tele
Majasusi wao kuna muda vichwa vyao huwa panzi kwani hudakwa kirahisi sana.Marekani kwa ujasusi tu ni shida
KaribuAsantee mama mchungajiiii
Ana kilo 115 sio mtu wa masiharaNamkubali sana huyu jamaa
Amen mama mchungaji ubarikiweTAFUTA KUWA NA AMANI NA WATU WOTE
MITHALI 25
21 Adui yako akiwa ananjaa ,mpe chakula;Tena akiwa anakiu ,mpe maji ya kunywa.
22 Maana utatia makaa ya moto kichwani pake;Na Bwana atakupa thawabu.
Katika suala gumu maishani moja wapo ni hili la kuwapenda maadui zetu,Lakini ndivyo ilivyo hata kwa Bwana Yesu alisema wasamehe maana hawajui watendalo.
Mtu akikukosea Mwambie Bwana Teta nao wanaoteta nami........Zaburi 35 ..................... usiwe na hasira ya kudumu.
Katika somo hili unapompenda na kumtendea mema adui
Bwana atakupa thawabu.
Utakuwa umemsaidia yeye kubadilika pia
Ni adhabu tosha maana neno lasema utakuwa umewasha makaa ya moto kichwani mwake.
Wapendwa siyo kazi nyepesi ila kwa msaada wa Roho Mtakatifu inawezekana.
Tunakushukuru Baba kwa ulinzi wako na kutuamsha salama ,asante kwa yote unayotutendea asante kwa afya ,riziki ,marafiki na maadui tunaomba uendelee kutuimarisha tuweze kuwa na uvumilivu wa kuwapenda maadui na kuwaombea.
Siku ya leo ponya roho zetu,ponya majeraha,ponya wafiwa,wagonjwa ,wenye mahitaji..
Tufundishe kuchukuliana mizigo kwa upendo na kuwa sababu ya furaha kwa wengine na kuwasaidia watu kubadilika na kutenda kadri wanavyopenda kutendewa
Asante Baba kwa sababu utatupa kushinda kila siku za maisha yetu na kutujenga kuimarishana maana hakuna mkamilifu.
Jumapili ya leo ikawe ya baraka ushindi na kutubdilisha.
Kwa jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen
WAPENDWA JUMAPILI NJEMA![]()
Asante sana kwa historia Mussolin5 Mungu akubariki kazi yako ni njema,jumapili njema ya barakaLeo Katika Historia:
Niwatakie jumapili njema.
Mzima mkuuAsante sana mkuu
Usipoikubali basi wewe utakuwa wa hapahapaLugha ya Malkia inabidi uikubali tu maana sasa inahusika kila kona
Mkuu mzimaAmen katibu
Na iwe njema kwako pia