Makapuku Forum

Makapuku Forum

2005 - Video ya kwanza yawekwa ndani ya mtandao wa Youtube. Video hiyo ilijulikana kama " Me at the zoo "
c2515c29ae809c6a95a63d1244fccaf3.jpg
4891c37179946bdb05b7916f6dd73aa2.jpg
Jamaa ana swaga za kiporipori
.....
 
TAFUTA KUWA NA AMANI NA WATU WOTE


MITHALI 25

21 Adui yako akiwa ananjaa ,mpe chakula;Tena akiwa anakiu ,mpe maji ya kunywa.

22 Maana utatia makaa ya moto kichwani pake;Na Bwana atakupa thawabu.

Katika suala gumu maishani moja wapo ni hili la kuwapenda maadui zetu,Lakini ndivyo ilivyo hata kwa Bwana Yesu alisema wasamehe maana hawajui watendalo.
Mtu akikukosea Mwambie Bwana Teta nao wanaoteta nami........Zaburi 35 ..................... usiwe na hasira ya kudumu.

Katika somo hili unapompenda na kumtendea mema adui

Bwana atakupa thawabu.
Utakuwa umemsaidia yeye kubadilika pia
Ni adhabu tosha maana neno lasema utakuwa umewasha makaa ya moto kichwani mwake.


Wapendwa siyo kazi nyepesi ila kwa msaada wa Roho Mtakatifu inawezekana.

Tunakushukuru Baba kwa ulinzi wako na kutuamsha salama ,asante kwa yote unayotutendea asante kwa afya ,riziki ,marafiki na maadui tunaomba uendelee kutuimarisha tuweze kuwa na uvumilivu wa kuwapenda maadui na kuwaombea.

Siku ya leo ponya roho zetu,ponya majeraha,ponya wafiwa,wagonjwa ,wenye mahitaji..

Tufundishe kuchukuliana mizigo kwa upendo na kuwa sababu ya furaha kwa wengine na kuwasaidia watu kubadilika na kutenda kadri wanavyopenda kutendewa

Asante Baba kwa sababu utatupa kushinda kila siku za maisha yetu na kutujenga kuimarishana maana hakuna mkamilifu.

Jumapili ya leo ikawe ya baraka ushindi na kutubdilisha.

Kwa jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen

WAPENDWA JUMAPILI NJEMA
Asantee mama mchungajiiii
 
2015 - ID ya Mussolin5 inaanzishwa ndani ya JamiiForums.

Leo ni miaka miwili tangu nianze kutumia ID hii maridhawa mara baada ya hapo awali kula life ban kupitia ID ya awali.

Kwa msiofahamu, juyo jamaa mwenye Kofia na midevu kwenye avatar yangu anaitwa Camilo Cienfuego. Alikuwa ni mwanapinduzi wa Cuba alifariki kwa kupotea kwa ndege aliyopanda.

Namkubali sana, thats why huwa siwezi change avatar yangu.
 
TAFUTA KUWA NA AMANI NA WATU WOTE


MITHALI 25

21 Adui yako akiwa ananjaa ,mpe chakula;Tena akiwa anakiu ,mpe maji ya kunywa.

22 Maana utatia makaa ya moto kichwani pake;Na Bwana atakupa thawabu.

Katika suala gumu maishani moja wapo ni hili la kuwapenda maadui zetu,Lakini ndivyo ilivyo hata kwa Bwana Yesu alisema wasamehe maana hawajui watendalo.
Mtu akikukosea Mwambie Bwana Teta nao wanaoteta nami........Zaburi 35 ..................... usiwe na hasira ya kudumu.

Katika somo hili unapompenda na kumtendea mema adui

Bwana atakupa thawabu.
Utakuwa umemsaidia yeye kubadilika pia
Ni adhabu tosha maana neno lasema utakuwa umewasha makaa ya moto kichwani mwake.


Wapendwa siyo kazi nyepesi ila kwa msaada wa Roho Mtakatifu inawezekana.

Tunakushukuru Baba kwa ulinzi wako na kutuamsha salama ,asante kwa yote unayotutendea asante kwa afya ,riziki ,marafiki na maadui tunaomba uendelee kutuimarisha tuweze kuwa na uvumilivu wa kuwapenda maadui na kuwaombea.

Siku ya leo ponya roho zetu,ponya majeraha,ponya wafiwa,wagonjwa ,wenye mahitaji..

Tufundishe kuchukuliana mizigo kwa upendo na kuwa sababu ya furaha kwa wengine na kuwasaidia watu kubadilika na kutenda kadri wanavyopenda kutendewa

Asante Baba kwa sababu utatupa kushinda kila siku za maisha yetu na kutujenga kuimarishana maana hakuna mkamilifu.

Jumapili ya leo ikawe ya baraka ushindi na kutubdilisha.

Kwa jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen

WAPENDWA JUMAPILI NJEMA
Amen
 
2015 - ID ya Mussolin5 inaanzishwa ndani ya JamiiForums.

Leo ni miaka miwili tangu nianze kutumia ID hii maridhawa mara baada ya hapo awali kula life ban kupitia ID ya awali.

Kwa msiofahamu, juyo jamaa mwenye Kofia na midevu kwenye avatar yangu anaitwa Camilo Cienfuego. Alikuwa ni mwanapinduzi wa Cuba alifariki kwa kupotea kwa ndege aliyopanda.

Namkubali sana, thats why huwa siwezi change avatar yangu.
Hongera kwa msimamo,ila hapo hiyo ndege haikuoneka tena?na hakuzikwa?natamani kufahamu zaidi..
 
2015 - ID ya Mussolin5 inaanzishwa ndani ya JamiiForums.

Leo ni miaka miwili tangu nianze kutumia ID hii maridhawa mara baada ya hapo awali kula life ban kupitia ID ya awali.

Kwa msiofahamu, juyo jamaa mwenye Kofia na midevu kwenye avatar yangu anaitwa Camilo Cienfuego. Alikuwa ni mwanapinduzi wa Cuba alifariki kwa kupotea kwa ndege aliyopanda.

Namkubali sana, thats why huwa siwezi change avatar yangu.
RIP Camilo Cienfuego
 
TAFUTA KUWA NA AMANI NA WATU WOTE


MITHALI 25

21 Adui yako akiwa ananjaa ,mpe chakula;Tena akiwa anakiu ,mpe maji ya kunywa.

22 Maana utatia makaa ya moto kichwani pake;Na Bwana atakupa thawabu.

Katika suala gumu maishani moja wapo ni hili la kuwapenda maadui zetu,Lakini ndivyo ilivyo hata kwa Bwana Yesu alisema wasamehe maana hawajui watendalo.
Mtu akikukosea Mwambie Bwana Teta nao wanaoteta nami........Zaburi 35 ..................... usiwe na hasira ya kudumu.

Katika somo hili unapompenda na kumtendea mema adui

Bwana atakupa thawabu.
Utakuwa umemsaidia yeye kubadilika pia
Ni adhabu tosha maana neno lasema utakuwa umewasha makaa ya moto kichwani mwake.


Wapendwa siyo kazi nyepesi ila kwa msaada wa Roho Mtakatifu inawezekana.

Tunakushukuru Baba kwa ulinzi wako na kutuamsha salama ,asante kwa yote unayotutendea asante kwa afya ,riziki ,marafiki na maadui tunaomba uendelee kutuimarisha tuweze kuwa na uvumilivu wa kuwapenda maadui na kuwaombea.

Siku ya leo ponya roho zetu,ponya majeraha,ponya wafiwa,wagonjwa ,wenye mahitaji..

Tufundishe kuchukuliana mizigo kwa upendo na kuwa sababu ya furaha kwa wengine na kuwasaidia watu kubadilika na kutenda kadri wanavyopenda kutendewa

Asante Baba kwa sababu utatupa kushinda kila siku za maisha yetu na kutujenga kuimarishana maana hakuna mkamilifu.

Jumapili ya leo ikawe ya baraka ushindi na kutubdilisha.

Kwa jina la Yesu Mpatanishi na Mwokozi wetu Amen

WAPENDWA JUMAPILI NJEMA
Amen mama mchungaji ubarikiwe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom