Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Swali lako jepesi sanahahaha Makapuku mimi huwa mbona jukwaa lenu hili najaribu kulielewa lakini nashindwa? Hivi huwa mnajadili mada fulani au kuna mtiririko wa story maana mnaniacha kwenye mataa ....ila ninachoelewa kutoka kwenu ni kuwa mnatoa like kama njungu vile na kingine kinachonishangaza ni uzi wenu unavyokimbia kama marathon vile....
