Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Ndio mkuuHuko ndiko wanapatikana wandali?
Kutoka huko mpaka jijini mbeya kuna umbali wa Km ngapi?Ndio mkuu
HakikaHii Sizonje hataki kuisikia maana inampunguzia madaraka![]()
![]()
![]()
![]()
......
Nipo JF toka mwaka 2011Vizuri sana mkuu Mussolin5
Swali la Nyongeza una umri gani humu JF?
Hahaha...kweli mzee wa Ngekewa.Aisee ulipost picha ya makalio ya ngedere ungabure yakiwa wazi?
Au ulikwaruzana na mkongwe first class
Kiukweli kabla ya ID hii nilikuwa nyingine ambao niliitumia mwezi mmoja tu nikapoteza password maana nilikuwa mshamba tu sijui hata log in....niliambulia like 3 tu na masimango kibao
Fasta nikaja na hii Bitoz ambayo ina nyota ya ngekewa,..sijawahi kugusa ban
Huwa najiepusha na malumbano mtu akizingua nampotezea tu ndo itamfanya aumie
.......
HahahahaI am strong woman,,,
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
.......
OohKuku broilers
BeiKuku broilers
Bonjour Archdukebonjour famille
Ooh vizuri sana mkuuNipo JF toka mwaka 2011
5000
Sanasana ataibadilisha ili awe Rais wa maisha.Hii Sizonje hataki kuisikia maana inampunguzia madaraka![]()
![]()
![]()
![]()
......
Sijafuatilia sana umbali ila mi nilipo inaweza kuwa km 100Kutoka huko mpaka jijini mbeya kuna umbali wa Km ngapi?
Kwa hiyo bei umewafuga mda gani5000
Nzuri sanaMi niko poa mkuu hbr ya jp
Pamoja kiongoziNzuri sana
Bila ShakaLugha ya Malkia inabidi uikubali tu maana sasa inahusika kila kona