Makapuku Forum

Makapuku Forum

1998 - James Earl Ray anafariki dunia.

Alikuwa ni muuaji wa Martin Luther King Jr.
45babd18af942dc98d3db69ae836912f.jpg
ba0adff56f75e57db0e6b999795b7d35.jpg
fb64f8c4b55b9a24ac861aa8e1a3054a.jpg
8753321459bd588cb8c240748b67b252.jpg

Bora angeuawa tu
....
 
2015 - ID ya Mussolin5 inaanzishwa ndani ya JamiiForums.

Leo ni miaka miwili tangu nianze kutumia ID hii maridhawa mara baada ya hapo awali kula life ban kupitia ID ya awali.

Kwa msiofahamu, juyo jamaa mwenye Kofia na midevu kwenye avatar yangu anaitwa Camilo Cienfuego. Alikuwa ni mwanapinduzi wa Cuba alifariki kwa kupotea kwa ndege aliyopanda.

Namkubali sana, thats why huwa siwezi change avatar yangu.
Aisee ulipost picha ya makalio ya ngedere ungabure yakiwa wazi?
Au ulikwaruzana na mkongwe first class

Kiukweli kabla ya ID hii nilikuwa nyingine ambao niliitumia mwezi mmoja tu nikapoteza password maana nilikuwa mshamba tu sijui hata log in....niliambulia like 3 tu na masimango kibao
Fasta nikaja na hii Bitoz ambayo ina nyota ya ngekewa,..sijawahi kugusa ban
Huwa najiepusha na malumbano mtu akizingua nampotezea tu ndo itamfanya aumie
.......
 
Aisee ulipost picha ya makalio ya ngedere ungabure yakiwa wazi?
Au ulikwaruzana na mkongwe first class

Kiukweli kabla ya ID hii nilikuwa nyingine ambao niliitumia mwezi mmoja tu nikapoteza password maana nilikuwa mshamba tu sijui hata log in....niliambulia like 3 tu na masimango kibao
Fasta nikaja na hii Bitoz ambayo ina nyota ya ngekewa,..sijawahi kugusa ban
Huwa najiepusha na malumbano mtu akizingua nampotezea tu ndo itamfanya aumie
.......
Hongera mkuu

Historia yangu haina mtiririko sahihi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom