Nyagei
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 13,201
- 44,601
1998 - James Earl Ray anafariki dunia.
Alikuwa ni muuaji wa Martin Luther King Jr.
Ukoo wake unatokea Africa au maana ni black?
Asante sanaPitia hapa zaidi...
Mfahamu Camilo Cienfuegos wa Cuba!!
Mi namshukuru mungu niko poaMi mzima sijui ww?
Kuku broilersSoko la nini
Aisee ulipost picha ya makalio ya ngedere ungabure yakiwa wazi?2015 - ID ya Mussolin5 inaanzishwa ndani ya JamiiForums.
Leo ni miaka miwili tangu nianze kutumia ID hii maridhawa mara baada ya hapo awali kula life ban kupitia ID ya awali.
Kwa msiofahamu, juyo jamaa mwenye Kofia na midevu kwenye avatar yangu anaitwa Camilo Cienfuego. Alikuwa ni mwanapinduzi wa Cuba alifariki kwa kupotea kwa ndege aliyopanda.
Namkubali sana, thats why huwa siwezi change avatar yangu.
Mda mrefu mkuu Malawi nilkaa siku tatuMzima kabisa mkuu
Hivi Malawi ulishatoka?
I am strong woman,,,- Leo ni siku ya Umoja wa Mataifa ya kuhamasisha matumizi ya Lugha ya Kiingereza.
Kuna mtu hapa hataki kusafiri kwa kuwa lugha ya mkoloni sio rafiki kwake.
Kumbe alifariki akiwa mdogo vilePitia hapa zaidi...
Mfahamu Camilo Cienfuegos wa Cuba!!
- Leo ni siku ya Vitabu duniani.
Lengo kuu ni kuwahamasisha watu wasome vitabu maana maarifa mengi yapo vitabuni.
Je toka mwaka uanze ushasoma vitabu vingapi?
Anhaa, hivi Ileje ipo Songwe au Mbeya?Mda mrefu mkuu Malawi nilkaa siku tatu
Hongera mkuuAisee ulipost picha ya makalio ya ngedere ungabure yakiwa wazi?
Au ulikwaruzana na mkongwe first class
Kiukweli kabla ya ID hii nilikuwa nyingine ambao niliitumia mwezi mmoja tu nikapoteza password maana nilikuwa mshamba tu sijui hata log in....niliambulia like 3 tu na masimango kibao
Fasta nikaja na hii Bitoz ambayo ina nyota ya ngekewa,..sijawahi kugusa ban
Huwa najiepusha na malumbano mtu akizingua nampotezea tu ndo itamfanya aumie
.......
Iko SongweAnhaa, hivi Ileje ipo Songwe au Mbeya?
![]()
![]()
![]()
Vitabu ni lishe ya ubongo
.....

Watu mna vitukoSafi sana kwenye ndoa mieleka mbaliiii
Ndio huunda team moja na hiyo alimvicha pete baada ya kucheza pamoja na kushindaKumbe demu wake naye ni mwanamieleka.
Huko ndiko wanapatikana wandali?Iko Songwe
Ilifanyiwa marekebisho kidogo mwaka 1990