Week end nyingine tena, siku ya kifamilia. Najua kuna mapya mengi kwenu, ila kwangu, nimenunua saa mpya. Sio jambo baya family ya Makapuku kujua.
Turudi kwenye nachopenda, nyuzi za gitaa.
Filamu ya Neria ni maarufu sana hapa Tanzania na duniani kote, ni moja ya filamu zilizopata maarufu mkubwa miaka ya 90s. Ukiacha wahusika, na mandhari, soundtrack ya Neria ilitungwa, kuandikwa na kuchezwa na gwiji Oliver "Tuku" Mtukudzi.
Mshindi wa muda wote wa Tuzo za Kora, Tuku ni mwandishi mzuri wa mashairi 'poems' na litunukiwa tuzo ya International Writers Project inayotolewa na Brown university.
Hapa mcheki akicharaza gitaa lake lililotawala wimbo wa Neria katika mwaliko maalum alioupata pale Bush House studios za BBC.
Usiku mwema