Makapuku Forum

Makapuku Forum

Waafrika yaani tulikuwa na falsafa nzito na iliyoshabihiana na mazingira yetu vizuri. Halafu akina Karl Peters wakaja na kuharibu kila kitu. Sad!
I
2753072d847dd0e324f317bfd136fccd.jpg
inaonekana Carl Peters alikutimbua sana
Hilo jamaa hata mimi silipendi tangunimjue kwenye historia
Sura lake km Hitler
....
 
Anakujaga hapa mara moja moja anatukana halafu anakimbia. Nilishawahi kumuuliza kama ana hoja anayohitaji ijadiliwe kwa kina aseme ili ajionee weledi wa Makapuku. Aliishia kutoa povu tu na kusepa.
Mkuu Huyo kazoea jukwa la siasa kwa hiyo akija huku anakuta hakuna maeno ya siasa anaona watu wamejaa furaha tofauti na jukwaa la siasa mda wote matusi
 
Anakujaga hapa mara moja moja anatukana halafu anakimbia. Nilishawahi kumuuliza kama ana hoja anayohitaji ijadiliwe kwa kina aseme ili ajionee weledi wa Makapuku. Aliishia kutoa povu tu na kusepa.


Ha hahhaha, nakumbuka hoja yako aliyoikimbia (hakujibu so nachukua kama kukimbia) huku Makapuku wanadhani ni kurahisihisi tu na kupeana 'likes' zisizo na sababu, la. Kila jukwaa lina umuhimu wake na huku segments zilizomo ndani ya makapuku ni forum within a forum, magazeti kwa mfano ni segment pana isiyoweza kuisha, historia tunakumbushana na kuweka kumbukumbu sawa.

Tunakuja kwenye soka, hapa tunaenda zaidi ya mpira uliochezwa jana na utakaochezwa kesho

Tuna sala za kila siku

Hujakutana na matajiri makapuku wasiopenda kusali hata BH akeshe anatupia mistari, unatukuta tunaosema amen huku tunagonga kilaji

bado kuna chai za hapa na pale kujijamii na kujamiiana

makapuku ni bomb, even the haters and losers die to come and act like King Julien!
 
Anakujaga hapa mara moja moja anatukana halafu anakimbia. Nilishawahi kumuuliza kama ana hoja anayohitaji ijadiliwe kwa kina aseme ili ajionee weledi wa Makapuku. Aliishia kutoa povu tu na kusepa.
Mambo ya kawaida tu hayo
Zamani ndo yalinipa shida
Ila siku hizi najua kudili mayo
Ukiignore kamwe hapawezi kuwepo ugomvi/malumbano
Hivyo huwa napiga kimya
........
 
I
2753072d847dd0e324f317bfd136fccd.jpg
inaonekana Carl Peters alikutimbua sana
Hilo jamaa hata mimi silipendi tangunimjue kwenye historia
Sura lake km Hitler
....
Silipendi. Lilimtapeli Chifu Mangungo likamsainisha mikataba feki likajinyakulia ardhi bure. Na mpaka leo bado tunasainishwa mikataba "feki" majamaa yanasomba mpaka mchanga wenye madini yetu. Niliwahi kwenda Mwadui mgodini kikazi. Ndege kwenda Sauzi kila mwezi inaruka ikiwa na almasi lakini ukitoka nje ya geti la mgodi Wasukuma wamechoka balaa. Laana si laana, ujinga si ujinga hata sijui ni nini!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom