Makapuku Forum

Makapuku Forum

b143cee173430a7b9fc21d468b476215.jpg
 
Ha hahhaha, nakumbuka hoja yako aliyoikimbia (hakujibu so nachukua kama kukimbia) huku Makapuku wanadhani ni kurahisihisi tu na kupeana 'likes' zisizo na sababu, la. Kila jukwaa lina umuhimu wake na huku segments zilizomo ndani ya makapuku ni forum within a forum, magazeti kwa mfano ni segment pana isiyoweza kuisha, historia tunakumbushana na kuweka kumbukumbu sawa.

Tunakuja kwenye soka, hapa tunaenda zaidi ya mpira uliochezwa jana na utakaochezwa kesho

Tuna sala za kila siku

Hujakutana na matajiri makapuku wasiopenda kusali hata BH akeshe anatupia mistari, unatukuta tunaosema amen huku tunagonga kilaji

bado kuna chai za hapa na pale kujijamii na kujamiiana

makapuku ni bomb, even the haters and losers die to come and act like King Julien!
Umenena vyema mkuu obe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom