Makapuku Forum

Makapuku Forum

jamani makapuku mko salama ??
nimewamic so crazzy
-shunie_first lady of jf
-shimba ya buyense_falsa with intergrity
-mondray_aka rayvany
-sakayo_apple lover2
-dr.lee_jealous man with pure love
-transcend_mshauri
-valentina_apple lover
-nyagei_charlie
-mukongo_werrason
-mukubhi_mboga za majani
-toxic9_baba paroko
 
jamani makapuku mko salama ??
nimewamic so crazzy
-shunie_first lady of jf
-shimba ya buyense_falsa with intergrity
-mondray_aka rayvany
-sakayo_apple lover2
-dr.lee_jealous man with pure love
-transcend_mshauri
-valentina_apple lover
-nyagei_charlie
-mukongo_werrason
-mukubhi_mboga za majani
-toxic9_baba paroko
miss u moo mlinzi wa kwangu mm peke angu si kwa aka hizo
 
hahahhahh binamu hongera kwa kununua saa mpya
filamu ya neria naikumbuka yule mama mjane masikini alivyoanza kunyanyaswa na ndg wa mume

asante binamu kwa gitaa la mzee Oliver

Nashukuru auntie.

i may sound awkward, lakini mar y kwanza naiona hii movie tumekaa mimi na wazazi wangu nililengwalengwa na machozi. Storyline yake inateka moyo katika namna ambayo unatamani kuingia na kumzabua 'ba mdogo'
 
simu yangu ilipata hitirafu nikairestore ikaanza upya kabisa nikadownload app ya jf na upya sasa nilisahau password yangu yakuingilia lkn sikuona kitufe kilicho andikwa forget password
naomba kuuliza kuna namna yoyote ya kuingia jf (login) kama umesahau password

[HASHTAG]#wasilisha[/HASHTAG]
 
simu yangu ilipata hitirafu nikairestore ikaanza upya kabisa nikadownload app ya jf na upya sasa nilisahau password yangu yakuingilia lkn sikuona kitufe kilicho andikwa forget password
naomba kuuliza kuna namna yoyote ya kuingia jf (login) kama umesahau password

[HASHTAG]#wasilisha[/HASHTAG]
Jaribu kuingia bila kutumia app utakuta hiyo option
 
0f48be45fbcace0728b5e038c2ecba0d.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom