Makapuku Forum

jamani makapuku mko salama ??
nimewamic so crazzy
-shunie_first lady of jf
-shimba ya buyense_falsa with intergrity
-mondray_aka rayvany
-sakayo_apple lover2
-dr.lee_jealous man with pure love
-transcend_mshauri
-valentina_apple lover
-nyagei_charlie
-mukongo_werrason
-mukubhi_mboga za majani
-toxic9_baba paroko
 
miss u moo mlinzi wa kwangu mm peke angu si kwa aka hizo
 
hahahhahh binamu hongera kwa kununua saa mpya
filamu ya neria naikumbuka yule mama mjane masikini alivyoanza kunyanyaswa na ndg wa mume

asante binamu kwa gitaa la mzee Oliver

Nashukuru auntie.

i may sound awkward, lakini mar y kwanza naiona hii movie tumekaa mimi na wazazi wangu nililengwalengwa na machozi. Storyline yake inateka moyo katika namna ambayo unatamani kuingia na kumzabua 'ba mdogo'
 
simu yangu ilipata hitirafu nikairestore ikaanza upya kabisa nikadownload app ya jf na upya sasa nilisahau password yangu yakuingilia lkn sikuona kitufe kilicho andikwa forget password
naomba kuuliza kuna namna yoyote ya kuingia jf (login) kama umesahau password

[HASHTAG]#wasilisha[/HASHTAG]
 
Jaribu kuingia bila kutumia app utakuta hiyo option
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…