Makapuku Forum

Makapuku Forum

46a38fa70ea548dbfc718b51a64f9d05.jpg
 
Ha hahahhaha, hili kwa sababu unalijua zaidi na lina urafiki na masikio yako, kuna la Dr Remmy (RIP) nalo utalipenda tu.

Then tunaweza kutoka kwenda huko kina hendrix, Santana, Bonamassa, wale Waluo wa shirati jazz na wengine kibao
Bwana weee
Lete votu vyenye kugusa hisia kama hizo yaani hazichoshi..
 
Rutta ni ngumu sana kuuelewa huu uzi, hukuna mada maalum japo kuna segment kama nukuu, je wajua, leo katika historia na magazeti, kwa kifupi hiki ni kijiwe cha watu kupiga stori tena chenye watu wapya kila wakati, kwa ufupi hapa utani na kutaniana ni kwingi na stori za mapenzi na michezo huwa hazikauki. Likes ndio nguzo muhimu za ushirikiano hapa kapuku au hata nje ya kapuku.
Lingine memba wa humu wengi wanafahamiana nje ya kapuku.
umemaliza kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom