Makapuku Forum

Gitaa linapigwa mtu unafeel
 
Officially kuanzia mwaka juzi kama sikosei. Upungufu wa wanawake hapa Makapuku tu unaleta shida imagine nchi yenye watu bilioni 1+. Nasikia ratio ilikuwa inakaribia 1:3. Sasa hapo niambie kama utapata mke kama hauko ngangari!
Siyo wanakaribia billioni 1.3 Bali tayari Wachina wapo 1,388,262,693 kufikia March 2017
Na mwezi buu wameshazaliana tena


Napumzika
Tukutane kesho
..........
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…