Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mfano "one child policy" yaani marufuku kuzaa mtoto zaidi ya mmoja hii ilikuwa zamani
sasa hivi nasikia wanelegeza masharti lakini sidhani km wana uburu wa kujiamulia idadi ya watoto

Kiufupi China wamewazidi Wahindi watu Milioni 40 lakini Wahindi wanazaa tu hivyo Wachina wakizubaa watapitwa tu

Kati ya mwaka 2000 hadi 2017 ongezeko la Wahindi ni 34% wakati Wachina ni 9% tu

.......
Sasa hivi wameruhusu mpaka watoto wawili. Logic ni kwamba wazazi watataka kuwa na watoto wa jinsia zote mbili. Kwenye one child policy wazazi walikuwa wanaviua vitoto vya kike na kuendelea kujaribu tena na tena mpaka wapate katoto ka kiume. Matokeo yake kuna upungufu mkubwa wa mabinti na vijana wanapata shida wakati wa kuoa. Na wakati huo huo wanataka ku-maintain cultural purity na hawapendi kujichanganya hasa katika ndoa especially wakati huu ambapo ni dola kuu linaloinukia. Ukitaka mtoto wa tatu inabidi uombe vibali maalumu na uonyeshe uwezo wa kumlea bila msaada wo wote kutoka serikalini.
 
Sasa hivi wameruhusu mpaka watoto wawili. Logic ni kwamba wazazi watataka kuwa na watoto wa jinsia zote mbili. Kwenye one child policy wazazi walikuwa wanaviua vitoto vya kike na kuendelea kujaribu tena na tena mpaka wapate katoto ka kiume. Matokeo yake kuna upungufu mkubwa wa mabinti na vijana wanapata shida wakati wa kuoa. Na wakati huo huo wanataka ku-maintain cultural purity na hawapendi kujichanganya hasa katika ndoa especially wakati huu ambapo ni dola kuu linaloinukia. Ukitaka mtoto wa tatu inabidi uombe vibali maalumu na uonyeshe uwezo wa kumlea bila msaada wo wote kutoka serikalini.
Duh kwahiyo sasa hivi wapo kwenye "Two Child Policy'
Kuhusu upungufu wa wanawake nilishawahi kusikia ilileta balaa pia itaweza kusababisha ushoga
........
 
Lee uko wapi? USA Baby anataka kufanya mapinduzi huku...and I am told the revolution will be televised
63a36ce386f6ace12c66620a33ee3300.jpg
 
Mfano "one child policy" yaani marufuku kuzaa mtoto zaidi ya mmoja hii ilikuwa zamani
sasa hivi nasikia wanelegeza masharti lakini sidhani km wana uburu wa kujiamulia idadi ya watoto

Kiufupi China wamewazidi Wahindi watu Milioni 40 lakini Wahindi wanazaa tu hivyo Wachina wakizubaa watapitwa tu

Kati ya mwaka 2000 hadi 2017 ongezeko la Wahindi ni 34% wakati Wachina ni 9% tu

.......
Duuh ila gape la m40 si mchezo...
 
Duh kwahiyo sasa hivi wapo kwenye "Two Child Policy'
Kuhusu upungufu wa wanawake nilishawahi kusikia ilileta balaa pia itaweza kusababisha ushoga
........
Officially kuanzia mwaka juzi kama sikosei. Upungufu wa wanawake hapa Makapuku tu unaleta shida imagine nchi yenye watu bilioni 1+. Nasikia ratio ilikuwa inakaribia 1:3. Sasa hapo niambie kama utapata mke kama hauko ngangari!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom