Makapuku Forum

Makapuku Forum

hawa watu sio wastaarabu kabisa sijui kwa nn watu wa bara la Asia wapo hivyo
mkitembea barabarani wanatema makohozi yaan kila mtu utamsikia anavutia anatema popote pale kwenye bus au super market nyie mnaona kinyaa wenzenu wala
Hata hotelini hufanya hivyo
 
Makapuku, wikend ndo tunainza hivi kwa kujiburudisha na nyuzi za gitaa kutoka kwa magwiji mbalimbali Afrika. leo tunaye mkongwe mwingine tena.

Salif Keita, huyu utamtambua kwa sauti yake adhimu lakini pia kwa kuwa ni mwanamuzi mwenye albinism. Tatizo la ngozi yake halijamfanya asiwe mahiri katika kile anachokifanya, muziki.
Keita keshafanya ziara zenye mafanikio makubwa sehemu nyingi duniani na album yake ya M'Bemba ilitwaa tuzo kadhaa ikiwemo ya BBC.

Kama walivyo magwiji wengine wa Mali, Salif alifanya 'korabo' na gwiji la kora Toumani Diabate na leo nakuacha nao uburudike


Binamu asante sana hivi huyo kuna nyimbo aliimba inaitwa africa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom