Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,971
kanunue acha ubahiliina tv ndani??
kanunue acha ubahiliina tv ndani??
nan ana cheatAh wapi kazi inaendelea aiseeh naona dalili za kuanza kucheat hapa soonest tamshika nan mwiz wangu
IshaWazma huku wapendwa?
Muwe na usiku mwema..
asante mkuu1/China
![]()
Hawa macho madogo wapo takribani Bilioni moja, Milioni mia tatu themanini na nane na laki mbili[1,388,200,000)
Wanasifika kwa uchapakazi na kuzalisha bidhaa feki.ndio Taifa linalotishia uchumi Wa Marekani kutokana na ukuaji wake
Wamepunguza kasi ya kuzaliana hivyo sio ajabu wakipitwa na Wahindi
Mwisho
.........
nakupenda pia kiboko yake shunieMuke iko byee namupendaaa tuuu

nyuki watanifatakanunue acha ubahili
kujua nn tenaShunie asijue lakini
ni nini mnazungua nisijue tenaKwani kuna tatizo??
hahahhh shemela nipo ulijua nimeachikaHivi shemela wangu yupo
umelala mchumba angu??Atakufwa na wivu... You know
tena nikikufwa uje kunizikaAtakufwa na wivu... You know
Shemela wangu upo, nimefurahi sana kukuona shemelashemela miss u za ww
hahahhh baba paroko jambo ganiKesho nitakua na waandishi wa habari kwajili ya press conference kuna jambo nitalitolea tamko
Makapuku, wikend ndo tunainza hivi kwa kujiburudisha na nyuzi za gitaa kutoka kwa magwiji mbalimbali Afrika. leo tunaye mkongwe mwingine tena.
Salif Keita, huyu utamtambua kwa sauti yake adhimu lakini pia kwa kuwa ni mwanamuzi mwenye albinism. Tatizo la ngozi yake halijamfanya asiwe mahiri katika kile anachokifanya, muziki.
Keita keshafanya ziara zenye mafanikio makubwa sehemu nyingi duniani na album yake ya M'Bemba ilitwaa tuzo kadhaa ikiwemo ya BBC.
Kama walivyo magwiji wengine wa Mali, Salif alifanya 'korabo' na gwiji la kora Toumani Diabate na leo nakuacha nao uburudike
hahahh hivi baba paroko we ni mchagaTeh teh teh vale mkuu?? , mkuu bado unataka kufilisika?
Nilitaka tu kujuahahahhh shemela nipo ulijua nimeachika
wa Brazil nywele zao tunanunua ghali5/Brazil
Hii nchi kila mtu anajua mpira. Si mnamkumbuka JAJA.....Nchi hii imejaa wana wake warembo na fukwe za kupendeza![]()
Idadi kubwa ya watu ni wacha Mungu(wakatoliki) ndio maana wanetenfeneza kabisa sanamu la Yesu km mnara wao
Wapo 211,200,000[Milioni mia mbili kumi na moja na laki mbili)....
.....
NambieIsha
wazima Aisha za kwakoWazma huku wapendwa?
Muwe na usiku mwema..